Inna lilah waina ilah irajiun kama kweli ww ni binti wa kiislamu mpigie Mwenyezi Mungu wako magoti na muombe sana, msamaha kwaba do thnk mnyama ana haki kuliko wewe astaghfiruu sikujua kama tuta leta siasa kwenye mambo sensitive kama haya any wei gud luck
Acha kujibu ili hali ujui mbele wala nyuma yako kuna leo na kuna kesho shukuru una uwezo leo wa kukiandika icho ulicho kiandika kupitia simu yako ila usi fikilie siku moja kuteswa pasipo makosa ndo uta jua nn maana ya kauli uliyo iongea ambayo aina mashiko acha miemko yako peleka siasa uko utu...
Wewe kwani GPA ni matako kila mtu anayo? usiongee kwa kuwa ww unayo hiyo gpa angalia wingi wa mtoto wa kitanzania, aliyekuwa akisoma huku akiwaza kusomesha, wadgo zake na kulea familia yake usibwatuka tu hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.