Eyes_blogger
Senior Member
- Nov 30, 2016
- 115
- 81
- Thread starter
- #21
Me nimetaka ufafanuz tu Nina GPA nzuri tu ya 3.1Sidhani kama taarifa hiyo uliyosikia ni kweli labda serikali imeamua kuajiri MA-LECTURER
Me nimetaka ufafanuz tu Nina GPA nzuri tu ya 3.1Sidhani kama taarifa hiyo uliyosikia ni kweli labda serikali imeamua kuajiri MA-LECTURER
Haha nimeiona mahali ndio maana nikataka ufafanuz mimi binafsi GPA yangu ipo vizuri but unajua nilitaka kujua tuHivi nyi vijana wa sikuhizi mbona mnakuwa hamna akili hivi..umesikia kwa nani???
OkayTuwe wapole kwanza.
NiceSio ajila ni ajira
Hanna nilitumwa chuo kusoma nina GPA ya 3.1Mtu una GPA ya 2 na wewe unataka u ka fundishe?
Hahaha aise binafsi nilitaka kujua tu GPA yangu ipo vizuri tu msomi akipata jambo hulidadisi na hii ndio njia moja wapo ya udadisi .Muda wa kusoma mkawa mnakimbizana kwenye maandamano na kupiga deki barabara sasa hivi mnaanza kusumbua.
Wenye uwezo ndo watakaoajiriwa.
Hamna kitu kama hicho hata kama una gpa ya 4.5 na kichwani hamna kitu utaisoma numberHaha nimeiona mahali ndio maana nikataka ufafanuz mimi binafsi GPA yangu ipo vizuri but unajua nilitaka kujua tu
Naomba kuuliza nimesikia kua ajira za mwaka 2016-2017 lazimq uwe na gpa ya 3.8 sawa kama ni kweli naomba ufafanuzi kwa mwenye taarifa kamili na kwa wale wenzangu na mimi ulipewa mkopo na hukufikisha gpa iyo so hautapata ajira? Na huu utaratibu umeanza saiz kwa walio maliza hapo nyuma si utawaathiri wengi au anyway naomba ufafanuz ili nami nielewe. Naomba kuwasilisha
Chanzo ni wenye kauli pale elimu inapoingiliwa na siasa uchwaraKama ni kweli hayo maamuzi ndiyo yameafikiwa na Mamlaka au Uongozi husika basi itoshe tu kusema kuwa Watanzania tuna matatizo makubwa katika baadhi ya nyaya zetu zilizopo katika bongo zetu.
Nimeshafanya tafiti moja miaka mitatu tu iliyopita ambapo niligundua kuwa 99.999% ya Wafanyakazi wenye GPA za kuanzia hiyo alama yako tajwa hapo ndiyo wanaongoza kwa kuboronga na utendaji mbovu huku Maofisini / Makazini.
Pia sikuishia tu hapo nikachukua hatua kadhaa ya kuwauliza Watanzania wenzangu waishio Ulaya na Wazungu wawili watatu ambao ni Marafiki zangu juu ya suala zima la GPA na ajira kwa huko Ulaya. Majibu ambayo niliyapata kutoka kwa yote yalikuwa yanafana kuwa huko Ulaya kinachoangaliwa zaidi ni performance ya Mfanyakazi na siyo GPA yake.
Na tatizo hili ndilo limeharibu mno Sekta ya Ualimu / Ukufunzi / Uhadhiri humu Vyuoni kwani kuna Wanafunzi wengi tu wana Vipaji na Uwezo wa Kufundisha ila wanaachwa na kuchukuliwa wenye GPA hizo kubwa na matokeo yake hakuna kinachofanyika zaidi tu ya kupotezeana muda. Pitia Vyuo Vikuu kadhaa utashangaa Wahadhiri waliokuwa na GPA kubwa ndiyo wanaongoza kwa kutojua kukufunzi ila kuna Vichwa ambavyo vilikuwa Chuoni na vina GPA ndogo tu lakini katika deliverance darasani wako vizuri na wanakubalika sana. Na hapa nitoe tu pongezi kwa Chuo Kikuu kimoja hapa hapa Tanzania kwa kuliona hilo ambapo karibia 75% ya Wahadhiri wao wa sasa ni Vijana wenye Vipaji na Wito japo GPA zao ni ndogo ila hiko Chuo Kikuu sasa kinasifika kwa kuzalisha Wachapakazi wa ukweli.
Tujifunze kutofautisha kati ya GPA kubwa na actual competency ya Mtu. Siafiki kwa 100% Serikali kutumia mfumo huu wa Kipumbavu kabisa katika kuajiri Wafanyakazi / Watumishi wake na nitalipinga kwa nguvu zote hasa kutokana na kwamba ni mwana jamii na najua kinachoendelea on the ground pengine kuliko hata hao wachache walioamua na sana sana naona tu kuwa kuna tabaka fulani linataka kutengenezwa hapa au mpango wa kuwakomoa Watu au Kundi fulani. Siku nyingine kabla ya kuja na haya maamuzi yenu ambayo sioni aibu wala woga kuyaita ni ya Kipumbavu muwa mnafanya tafiti kwa wenzetu waliotuzidi ili tuweze kujifunza na tusije kuonekana ni Kituko.
Wewe kwani GPA ni matako kila mtu anayo? usiongee kwa kuwa ww unayo hiyo gpa angalia wingi wa mtoto wa kitanzania, aliyekuwa akisoma huku akiwaza kusomesha, wadgo zake na kulea familia yake usibwatuka tu hapaMuda wa kusoma mkawa mnakimbizana kwenye maandamano na kupiga deki barabara sasa hivi mnaanza kusumbua.
Wenye uwezo ndo watakaoajiriwa.
We unangap?mfyuuuMuda wa kusoma mkawa mnakimbizana kwenye maandamano na kupiga deki barabara sasa hivi mnaanza kusumbua.
Wenye uwezo ndo watakaoajiriwa.
We unangap?Mtu una GPA ya 2 na wewe unataka u ka fundishe?
Huyu akachunge kondooMtu una GPA ya 2 na wewe unataka u ka fundishe?
Thanx hizo in kwa degree tofauti na diploma kama kuna Makosa ,toa hisia , dukuduku na lekebisha thanx
Sasa Kama Hata neno ajira huwezi kuandika kwa usahihi unataka ukafundishe nini?Sio ajila ni ajira
Mkuu huko sahihi. Lakini form six kufaulu sana inategemea unasoma comb gani , eg hgl, pcm etcMi ningekuwa muajiri ningezingatia form 4 na form 6 papoje maana siamini kwenye Gpa maana kuna GPA za chupi na kujuana ila hakuna GPA za chupi wala kujuana kwa sisi tuliosomea mtaala wa DIVISION
chuo gani mkuu private or government?Hapana Nina GPA ya 3.1