Nikutofikiri tu hii itawageuka 2020 alafu uyo dada si stail za chadema yani haitaji watu Wa stail hiyo wanapunguza credit za chama, uyo mwana Dada ataikitokea kapata boyfriend kada Wa ccm kesho anahama tena hawajawai kua na msimamo katika maisha yao , du. Mwenyekiti ajiangalie tena, tena...
Watu wanapambania madawa ya kulevya we we unaongea maneno ya kwenye kanga , watu wamekua kama mazombi mjini ni watoto Wa watu kama ulivyo wewe lakini unga unawamaliza na wanajitaidi wapone lakini ndiyo ivyo hawezekani tena
Watu wanapambania madawa ya kulevya we we unaongea maneno ya kwenye kanga , watu wamekua kama mazombi mjini ni watoto Wa watu kama ulivyo wewe lakini unga unawamaliza na wanajitaidi wapone lakini ndiyo ivyo hawezekani tena
Lakini Wa kristo ambao siyo wakatoliki kuna swala mnanitatiza sana ivi kwanini mnakua wazito kuutambua mchango Wa mama maria katika ukombozi Wa dunia hii, ivi unawezaje kuumwabudu mwana na ukaacha kumweshimu mama , kuusu mama maria nadhani niwakati Wa maadhehebu mengine ya kikristo kujitazama na...
Mwambie dangote iviiiiii , kamaatakimakaa ya mawe na material nyinginezo kutoka Tanzania afunge kiwanda chake aondoke, kilakiwanda kisipo chukua material kutoka Tanzania itakuaje awo wanaozalisha izo material wamuzie nani kwanza sasaivi kunaviwanda kibao vya cement , au mnaogopa jina maana...
Bibilia ilikuwepo ata kabla ya yesu kuzaliwa , ambalo sisi wa kristo tunaiita agano la kale na baada ya kuja yesu wakaandika waandishi wengine wanaojulikana,juu ya maisha ya yesu na na ujumbe aliokua anautoa juu ya mungu anataka nini , bibilia iyo ikaitwa agano jipya. Na atakama kweli ichokitabu...
Ivyo vitabu vipo vingi tu nenda Jerusalem vimeandikwa miaaka mingi ata zaidi ya hiyo waliokua wanapinga yesu kwa maandishi walikuwepo wengi tu nawaliandika vitabu na vipo kwenye maktaba uko kama sijakosea ni Jerusalem
Sura yake ilibaki kwenye kitambaa alicho futwa na veronica kwenye ile siku ya mateso yake na watuwote waliokula shavu ya picha zao kutumika ni wale waliokua wanafanana naye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.