Hawa wafanyabiashara ya mafuta kutoka nje wametuibia sana walikuwa wanalobby sana huko miaka ya nyuma. Mimi naunga mkono . Walikuwa wanafaidi sana. I guess walikuwa wanaleta almost finished oil na kujifanya ni raw. Wao wanafanya packaging tu.
MBONA MBWENI KIJIJINI WATU HAWAJAUNGANISHIWA MAJI LICHA YA KUTUMIA MUDA KARIBU MWAKA MZIMA KUFUATILIA !!! MPAKA INATIA SHAKA ILHALI BOMBA ILIKOISHIA HAIFIKI HATA NUSU KILOMETA!!! JE MNAWASAIDIAJE WAKAZI HAO??????
That is right. The gov. can't integrate graduates into the economy. The mere fact is we are not able to research our problems and take advantage of the solutions we do have. It is just that the gov is in total blackout.
Si fikirii kama hii Ni sahihi kwa CHADEMA kulalamika. Wangesubiri mwezi wa Agosti ndio walalamike. Hapa cha msingi Ni gharama kushuka hichi ndicho tunachotaka. Hivi CHADEMA mnachofanya sio sahihi kitawapotezea wanachama wenu. Kama kweli hii taarifa Ni ya CHADEMA.
i
Thanks Samantha and your colleagues volunteers. We need such a courageous activists who really have the guts to speak and write about truth. Definitely we Tanzanians under Magufuli's presidency will reach to where we have dreamed to be.
Even our government leaders and officials should embedded...
Sizani kama amedanganywa kwani kilichotokea nazani wamefanya sampling kwa mantiki hiyo hayo makontena yaliyofanyiwa uchunguzi ndio yametoa taswira hiyo. Ila I believe kuna makontena ambayo yana Kiwango kikubwa cha dhahabu zaidi ya kilichoonekana. Hii loophole imetumiwa sana kuweka dhahabu kuliko...
Mkuu vyote ulivyosema sawa isipokuwa hili la kuombea tushindwe mimi siliafiki. Ni muhimu kusaidia tuweze kujinasua huu sio wakati wa kunyoosheana kidole. Tukizubaa haitokusaidia wala haitonisaidia mimi ama familia zetu
This post provides past information and it's outdated. The person who retrieved it is nothing rather than mkurupukaji. Hopefully hata Tindu Lissu ataiafuta hii post kwa matokeo ya uchunguzi uliotolewa. Aliyeileta ni mchonganishi tu. Currently information is the one we can make decisions upon it
Kwakweli wewe ni COWARD!!!! Liwalo na liwe wacha ulimwengu ujue tunavyofanywa maskini. Ni bora tuwekewe vikwazo kama Zimbabwe kuliko kuendelea kuibiwa angali tumeshajua wanavofanya. Ni bora Rasilimali zilizobaki ikiwemo madini zibaki kama zilivyo kwakuwa mpaka sasa hazina msaada kwa mwanachi...
I wish wangekuwa na capacity ya kufungua makontena yote kuna uwezekano mkubwa mengine yakawa na pure gold kabisa. Kwakuwa wameona nchi yetu ni shamba la kuchuma tu. Wakafungue na makontena mengine yasiachwe hivi hivi. Together we can build the best African Nation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.