Mimi ni baba wa watoto wanne mama tofauti tofauti na niliowapata nilipokuwa kwenye harakati za kutafuta mchumba ili awe mke wangu kwenye historia yangu niliwahi kuwa na mwanamke niliempenda sana na kumpa kila kitu ambacho nilikuwa na uwezo nacho,watu wote waliotujua walijua nampenda mwanamke...
Na ndio wanawake wangu siku zote, huyu nae ni binge lakini sii bonge sana hipsi ndio kubwa hatari.. Sasa sijui ndio zimepelekea nyonga kutanuka sana hadi huko kukawa kukubwa.
Anyway nijaribu kuapply mawazo kadhaa mlonipatia
Ni kibonge....
Na sii wote wembamba ndo wapo hivyo, japo Nami pia nimewahi kuskia tetesi kama hizo.. Sina chagua la wembamba
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
No negative mkubwa... Once nilipoileta hii issue kwenu wadau... Lengo ni kusikia ushauri wenu, ambapo kimsingi ninaamini nitatoma mengi mazuri, hivyo ushauri wenu bado ni kuntu kwangu kabla ya masmuzi yoyote.. ..ikumbukwe nimemla once... Still I have some chances to do something... Pia sina...
Issue sio kufa kuoza Chief wangu... Kama kile nachoona kwangu ni kikwazo, na nikagundua kina namna ya kukitafutia utatuzi Basi nitashughulikia kwa uwezo wangu...
Na pia pale napoona ni jambo lisilo wezekana, na changanya na zangu nafanya maamuzi....
Nasi kupenda kiviile, huu muda wa kupenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.