Kuna kitu kimoja labda ambacho labda watu huwa hawaelewi! Jamanj hii kesi haikuwa ya serikali na CHADEMA. Ilikuwa ya CCM dhidi ya CHADEMA na serikali. Kwanjni nasema hivi; ni Kwa sababu mlalamikaji anamlalamikia msimamizi wa Uchaguzi, mgombea Wa upande Wa pili pamoja mwanasheria Mkuu Wa...
Mke wangu ni mwalimu Wa shule ya msingi na anafanyia kazi Arusha. Kama kuna mwalimu ambaye angependa abadilishane naye au kama unamfahamu mwalimu ambaye angependa kwenda kufanyia kazi Arusha, naomba tuwasiliane kupitia namba 0759 239577
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.