Ni kiripoti kutoka kituo cha Mabasi yaendayo haraka Mbezi usafiri umekuwa ni tatizo.
Tunaomba serikali irejeshe usafiri wa daladala au kuwe na kampuni zaidi ya moja itakayotoa huduma kwa pamoja ili kuwa na ushindani.
Tanzania ni nchi huru inayojitegemea katika mfumo wake mzima wa Elimu pasipo kushuritishwa na Taifa lolote duniani.
Mfumo mzima wa Elimu ya Tanzania umetokana na sera na mitaala ambayo imeandaliwa na wizara ya Elimu ya Tanzania sambamba na kutungiwa sheria mbalimbali na Bunge la jamuhuri ya...
Mimi mtazamo wangu upo wazi
Kinachotusumbua na kutuchelewesha Watanzania ni Siasa mbovu.
Siasa hizi mbovu hazina mungozo wa jumla hata wa dira ya miaka 30 tu kutoka kwenye katiba yetu.
Kwa mfano kila Rais anayeshika uongozi anakuja na mtazamo wake binafsi
Kosa hapa ni kuchanganya jeshi na kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.