Recent content by leeh ney

  1. L

    MASOMO YA ZIADA TUITION DSM

    Wanafunzi wakipatikana karibu sana! Waweza share tangazo ili walione weng! Njoo pm
  2. L

    MASOMO YA ZIADA TUITION DSM

    *Mwalimu wa biology na Geography anayehitaji tuition nafundisha kuanzia form 1-6 masomo tajwa*! *Nakufata home ukihitaji au njoo Maurice high school iko mbande_kisewe stand (Dsm)* _SCHOOL CANDIDATES, PRIVATE CANDIDATES (PC) AND QT_ _WOTE MNAKARIBISHWA_ *BEI NI NAFUU SANA!* *MITIHANI YA...
  3. L

    Weka hapa maswali ya msingi ili waadishi wa habari kwenye Press ya leo wakamuulize IGP

    Hahaaà ajira za walimu kwa IGP[emoji167][emoji167][emoji167]
  4. L

    Ualimu Wa sayans .....masomo hisabat na computer

    Nimeona jana uzi wake anatangaza ajira[emoji38][emoji38][emoji38]
  5. L

    Ualimu Wa sayans .....masomo hisabat na computer

    Umeshapata nafas au bado?
  6. L

    Kazi wakuu

    Hii nch ninomaaa
  7. L

    Kazi wakuu

    Duuuh ndugu yangu kafurahi kweli kumbe wanataka hela ...ulivoenda ulilipa ukapewa risit???
  8. L

    Kazi wakuu

    Huenda akaambiwa huko huko atoe elfu20 inauma mwenyewe anatafta hela then atoe hela??
  9. L

    Kazi wakuu

    Mmhh kuna bro kawapigia wamemwambia aende magomen mwisho sjui supermaket gan akifika atawakuta pia wamemsisitiza apeleke cv na asambaze tarifa kwa wengine kumbe ndo anaenda kuibiwa hvo
  10. L

    Kazi wakuu

    Wanaligwaje hela mkuu tupe Elimu
  11. L

    Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Natafta sponsorship kwa masomo ya masters interested course in parasitology msaada namna ya kupata sponsors. Natanguliza shukran
  12. L

    WORK AND PROGRAM USA 2019

    Naskia wanatoza kuanzia $150
  13. L

    WORK AND PROGRAM USA 2019

    Tra fees tena ??? Sjakuelewa mkuu
  14. L

    WORK AND PROGRAM USA 2019

    Nimegundua nn wamemanisha[emoji38][emoji38][emoji10]
Back
Top Bottom