Recent content by leefrankne

  1. leefrankne

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC yajadili rufaa kuhusu uteuzi wa wabunge

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, leo tarehe 31 Agosti, 2025 imekaa na kujadili rufaa kuhusu uteuzi wa wagombea Ubunge katika Jamhuri ya Muungano na Udiwani kwa Tanzania Bara zilizowasilishwa Tume kwa ajili ya uamuzi. ============= KUHUSU UAMUZI WA RUFAA DHIDI YA UAMUZI WA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI...
  2. leefrankne

    JamiiForums Tanzania INEC yafanya mkutano na wawakilishi wa vyama vya siasa

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa...
  3. leefrankne

    JamiiForums Tanzania GE2025 INEC: Zoezi la urejeshaji wa fomu na uteuzi wa wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu Rais kufanyika 27 Agosti, 2025

    Kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 34(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 20(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Zoezi la urejeshaji wa fomu na uteuzi wa wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais...
  4. leefrankne

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea gawio nono la TSh. Tril 1.28, ongezeko la 68% kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma

    Serikali imepokea gawio la jumla ya Shilingi Trilioni 1.028, ikiwa ni ongezeko la asilimia 34 ikilinganishwa na Shilingi Bilioni 767 zilizokusanywa mwaka 2024.
  5. leefrankne

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife amebadilika ghafla naumia

    Dah jamaa cha kufanya punguza fedha unayotuma kama ni watoto wanasoma lipa ada direct shule, tafuta fanya shoping ya vyakula mwenyewe kwa kutuma mtu apeleke chakula then punguza hiyo pesa unatuma ni nyingi sana jamaa inampa kiburi huyo
Back
Top Bottom