Hizo ndio indicator kua USA amemshindwa vita hii.
Nyukilia ni silaha ya mwisho kabisa,
Huwezi ukapigana na Wasomali,au Watalaban ukataka kutumia nyukilia,ukiona taifa kubwa kama hili linataka kutumia nyukilia ujue hiyo ni dalili kua silaha zote zimeshindwa.
Hivi hii USA kweli inauweza mziki wa...
Najua hii inakuuma sana,kuona Taifa ulilokua unaliona kama supapawa linafikiria kutumia nyukilia dhidi ya nchi iliyowekewa vikwazo Kwa miaka karibu na Nusu Karne.
Na ulivyo mzembe umeshindwa hata kuelewa kua taarifa hiyo siyo maneno yangu,Bali ni maneno kutoka Marekani kwenyewe,licha ya kui...
Her visit comes at a moment of heightened friction between Taipei and Beijing, as China continues to assert sovereignty over Taiwan while refusing to engage with President William Lai Ching-te, whom it labels a “separatist”.
The wars in Ukraine, Gaza and Iran have also left many Taiwanese...
On rare China visit, Taiwan’s opposition leader calls for reconciliation
KMT chief Cheng Li-wun, the party’s first leader to visit China in a decade, hopes to meet Chinese President Xi Jinping.
KMT leader Cheng Li-wun, front on stairs, arrives in Shanghai, China, April 7, 2026...
Wewe Kila kitu unawazaga ujingaujinga TU unadhani sisi tuko hapa kushabikia ujinga kama wako?
Nyie ndio mnaoamini kua Marekani hua inaweza Kila kitu na haishindwi jambo lolote.
Hua mnaamini Wamarekani ni binadamu tofauti na binadamu wengine.
Ulivyo mjinga unadhani taarifa hiyo nimeibuni TU...
Silaha za nyukilia zilitengenezwa kwa ajili ya kutumika TU,pale nchi itakapokua imezidiwa na baada ya kutumia silaha nyingine zote lakini kushindwa kumshinda adui.
Inasemekana Trump alitaka kutumia nyukilia katika vita yake na Iran Generali Dan Caine akamkatalia je hii inaashiria kua Marekani...
Viongozi wa chama Cha upinzani Taiwan walienda kumuona rais wa china na kufanya nae mazungumzo katikati ya mwenzi huu wa aprili 2026.
Kushuka Kwa ushawishi wa Marekani ndio anguko lenyewe.
Watu wasifikiri Marekani itaanguka ghafla na kua masikini na ombaomba,hapana,Bali itakua TU kama Dola...
Nawashangaa sana Pro USAIsrael kufurahia jambo hili.
Hii imeonesha udhaifu mkubwa sana wa Majeshi ya USA na Israel kwamba wameshindwa kuiangamiza nchi ya Iran kwa kupiga miundombinu ya kijeshi Sasa wanataka wanapiga miundombinu ya kiraia ambayo kwa hakika Haina ulinzi wowote na Sheria za vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.