Hakuna kitu Cha maana ulichoandika ndugu.
Iko hivi Uriusi wala haiogopi kuisaidia Iran kwa uwazi kwa sababu ya kuogopa vikwazo,Bali Hadi Sasa Urusi inaona Iran inawamudu USA na Israel.
Ila kama muda ukifika Urusi itasaidia kwa uwazi.
Issue ya kuogopa vikwazo sio shida za Urusi maana tayari Iko...
Kweli kabisa.
Wao wanajionaga ndio wenye haki ya Kila kitu hapa duniani.
Sasa nae Urusi ana haki ya kuwasaidia washirika wake,nae Iran ana haki ya kupokea misaada toka kwa marafiki zake.
Na bado.
Ajabu sana hii.
Hawa west ni wepeai sana.
Na wamezoea vita rahisi.
Hebu fikiria west wote ndani imo NATO wanamsaidia Ukraine lkn wala husikii Russia akitetereka.
Leo wao hawataki Iran isaidiwe.
Na bado marekani na Isarel wanazitaka nchi nyingine duniani ziwasaodie kupigana na Iran.
Hovyo kabisa...
Hamna lolote ndugu,kwa Urusi atabikia kua mpole TU.
Kashindwa kumuangusha Urusi kupitia Ukraine Tena akishirikiana na nchi zaidi ya 50.
Hana jipya.
Kamwekea Urusi vikwazo vyote,kamkusanyia misukule yake yote yaani NATO na All collective west lkn Mrusi anadunda TU na bado anaweza kutoka silaha...
Sijawahi ona supapawa mlalamishi kama huyu.
USA is overrated,
Na marekani bila nyukilia ni hamna kitu.
Huyu ni kubwa jinga Mzee wa kupigwa na madogo TU.
Vietnam,somalia,Talabans na Sasa Iran.
Huyu kama akipigania na Urusi au China si atakimbilia nyukilia huyu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.