-Wakoloni Waingereza,Wafaransa,wajerumani,wareno n.k waliondoka India, Afrika na kwingineko.
-Makaburu wa Afrika Kusini Namibia na Angola waliachia madaraka.
-Kanu,Zanu PF waling'oka.
- Mobutu Sese Seko aling'olewa
In short nature ndio hutaka mabadiliko,CCM nature imeshawakataa hata wafanye Nini...