Recent content by Lee Van free

  1. L

    JamiiForums Tanzania Simba jiandaeni,furaha yenu Yanga Haita Furahi

    Yanga wamenusurika Botswana,walipata goli la kusawazisha dakika za jioni kabisa, Simba walishinda goli moja bila. Kama kawaida ya Yanga yeye katika maisha yake anaioneaga wivu Simba tu,kwa hiyo Yanga ana kazi mbili Sasa hivi,kuhakikisha anacheza mechi ya Simba ya marudiano na Mighty Wanderers...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa (UN) wapiga kura kupitisha ramani mpya ya dunia ili kuonyesha ukubwa halisi wa Afrika

    Waafrika wamafanikiwa katika kampeni Yao kutaka ramani ya Dunia ichorwe upya ikioneha Ukubwa Halisi wa bara la Afrika. Ramani ya Dunia ilivyokua ikitumika siku zote ilionesha bara la Afrika kuwa ni dogo kuliko Greenland, Sasa sijui hii ikitokea Kwa bahati mbaya au kwa makusudi WAJUMBE wa...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Sawa basi tuendelee kupaza sauti.
  4. L

    JamiiForums Tanzania The rise of Tanzanian Mafia,

    Mkuu unafikiri tutatokaje hapa? Imebaki kidogo TU,tunaenda kushuhudia Tanazania Mafia gangs. Tanzania sio kisiwa,tulisaini mikataba ya kimataifa,tulishirikiana na mataifa mengine kuzisulihisha na kuzikomboa na kuzisaidia nchi nyingine katika migogoro Yao,mfano ukombozi wa southern Africa,vita...
  5. L

    JamiiForums Tanzania The rise of Tanzanian Mafia,

    Mafia ni jina na genge la kihalifu lililoanzia Katika mji wa Sicily nchini Italy na baadhi kuhamia Marekani,likasambaa nchi jirani ya Marekani na Hadi likaingia katika nchi za Amerika ya Kusini,na hatimae Dunia nzima. Uhalifu mkubwa wa Mafia ulikua ni ujambazi,uporaji,biashara...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Alisema atajiuzulu Tarehe 4Sept,sijaona chochote,kama raia wa nchi hii Nina Hali ya kuhoji. Siku akionekana nitafurahi,kama nitakavyofurahi wakionekana Mdude, Polepole na wengine.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Asante,ila naomba MOD anirekebishie kwenye heading
  8. L

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Ha ha haa,nadhani amesahau sisi ni binadamu. Maana ni Mungu TU ndio hakosei. (Human error)
  9. L

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Huyu amesahaulika haraka zaidi kuliko Polepole. Hakuna sauti za kuuliza TU wapi Makamu wetu,au Free him,kama ilivyokua Kwa wengine,mfano Malisa. Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4-9-2026 Kuna yoyote ameshuhudia akikabidhiana ofisi? Huyu tumekwishampoteza tayari,huenda tusimuone Tena. Kirahisi TU.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Nadhani wewe pia umeona kama Mimi. Hapa mawakili wa serikali Wanajaribu kusafisha Hali ya hewa aliyoichafua Jana Gulogwa na Mnyika kuhusu maduduna ushenzi wa chaguzi za Tanzania,uonevu wa Tume kukataa kupokea fomu za wagombea wa CHADEMA ,kuwaengua,kuwabadilshia maandishi,kujificha fomu za...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa ya mawe kwenye nyongo

    Je unafahamu dawa zake
  12. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa ya mawe kwenye nyongo

    Asante
  13. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa ya mawe kwenye nyongo

    Asante
  14. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lisu jinsi inavyowapa CHADEMA jukwaa la kupelela madai Yao mazito duniani

    Kupitia kesi ya Lisu CHADEMA wamepata nafasi sahihi kabisa ya kueleza mateso Yao,kudai haki za wananchi,kupelela hoja zao za msingi kabisa Kwa MAHAKAMA na Dunia nzima. Kupitia kesi hii ya kijinga CHADEMA wamepata uwanja mzuri sana wa kuifahamisha Dunia rangi Halisi ya Tanzania ya CCM. Kupitia...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Kazi ya uokoaji pamoja na mapungufu Yao yote,wanaiweza bodaboda TU hap nchini.
Back
Top Bottom