Mkuu unafikiri tutatokaje hapa?
Imebaki kidogo TU,tunaenda kushuhudia Tanazania Mafia gangs.
Tanzania sio kisiwa,tulisaini mikataba ya kimataifa,tulishirikiana na mataifa mengine kuzisulihisha na kuzikomboa na kuzisaidia nchi nyingine katika migogoro Yao,mfano ukombozi wa southern Africa,vita...