Recent content by Lee Van free

  1. L

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Mkuu nasubiri tamko lako,Mimi ni mfuasi wako Nunda. Na Nina kundi langu kubwa ambalo linanitii humu JF na mtaani. Sis hatuhitaji kampeni za CHADEMA sisi tunasubirigi tamko TU.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Mtikisiko Arusha Mjini, Chadema yavunja rekodi yake yenyewe

    Nilikwisha kukuambia hivi wewe na CHADEMA wenzako,fanyeni sarakasi zote,piganeni vita zote,fukuzaneni usiku na mchana,Mimi hayo yote hayanihusu,ila siku ya uchaguzi wowote nitaangalia wapi lipo jina la mgombea wa CHADEMA kwa ngazi zote nitaweka tiki yangu ya ndio. Na viongozi wa CHADEMA wale...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Ni uhakika kwamba waliotekwa karibu wote tayari wamekufa

    Kwa hiyo hiyo huo ukubwa wa Polepole hao watu wake wanasubiri afe kwanza ndio waanzishe visasi visivyokoma Hadi CCM ianguke na vitaendelea baada ya kupasuka? Je? Hao watu wa Polepole huko ndani Kwa Sasa hawajali mateso anayoyapitia Mpendwa wao huko umatekani? Kumbuka kwa maisha anayoishi huko...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Maelezo yamenyooka kabisa haya. Ni ukweli UAE na Saudia hawawezi wao binafsi kuukabili mziki wa Iran.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Maelezo yamenyooka kabisa haya. Ni ukweli UAE na Saudia hawawezi wao binafsi kuukabili mziki wa Iran.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

    By the way nisije nikasahau Mimi ni Muumini wa Kabisa Takatifu na la Mitume.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

    By the way nisije nikasahau Mimi ni Muumini wa Kabisa Takatifu na la Mitume.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

    Siku za nyuma tulikua tunaambiwa aaaah Urusi! Urusi Cha mtoto TU kwa Marekani, Uchumi wa Urusi haufiki hata Nusu ya uchumi wa Jimbo la California. Watu wakaenda mabali Zaid na kusema Urusi haiwezi kupigana na marekani kwa sababu bajeti ya Ulinzi ya Marekani hata china na Urusi ziunganishe bajeti...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Marekani ni baunsa mzembe ,Kila mtu anajipigia TU Anapigwa Hadi na machokoraa akina vikundi vya Somalia na Watalaban a hilia mbali nchi kama Vietnam na Sasa Iran Kibaya zaidi Baunsa Mzembe kazeeka.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Baada ya Ukraine kupiga makazi ya wanafunzi ,Kiev yapondwa pondwa .

    Huo ni ukweli mchungu aisee
  11. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Ulinzi ya Iran pamoja na bajeti ya Ulinzi ya Marekani kwa mwaka 2025

    Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran. Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa mwaka 2025. Iran Iran's official military and security budget for the 2024–2025 period was set at...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Iran yaonesha miundombinu ya kijeshi 228 ya Marekani ilipigwa vibaya sana mashariki ya kati. Marekani ilificha

    Picha za satellite za Iran zilionesha uharibifu mkubwa na hasara kubwa sana Marekani ilipata kutokana na kipigo Cha Iran kilichofanywa katka makambi (bases) za Supapawa Marekani huko mashariki ya kati. Makambi mengi yalipigwa, na ndani ya makambi hayo yalikua ni Kambi za ndege,meli,rada...
Back
Top Bottom