Recent content by Lee Van free

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nimeona yote; CCM haitaondoka madarakani kwa kura

    Lakini hawafikii hata punje ya nguvu za uchawi na za Waganga wa Farao. Mungu hua anatoa muda kwa watu kama CCM kujirudi kwa njia za amani,wakikaza shingo Mungu hurusha Panga lake. Kumbuka nguvu ya Farao na Jeshi lake na Waganga wake . Mungu alitenganisha bahari,ikapatikana njia,watu wa Mungu...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Nimeona yote; CCM haitaondoka madarakani kwa kura

    Umeongea sahihi kabisa. Aya ya mwisho kabisa ndio itawatoa CCM. Wachina Wana akili ya kujitegemea CCM hawana akili ya kujitegemea. Wachina Wana sayansi,teknolojia na maarifa makubwa,CCM Haina uwezo huo na maarifa hayo. China ikitengwa na Dunia inaweza kuishi peke yake,kwa sababu yenyewe TU,ni...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Nimeona yote; CCM haitaondoka madarakani kwa kura

    -Wakoloni Waingereza,Wafaransa,wajerumani,wareno n.k waliondoka India, Afrika na kwingineko. -Makaburu wa Afrika Kusini Namibia na Angola waliachia madaraka. -Kanu,Zanu PF waling'oka. - Mobutu Sese Seko aling'olewa In short nature ndio hutaka mabadiliko,CCM nature imeshawakataa hata wafanye Nini...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Dunia imepinduka
  5. L

    JamiiForums Tanzania Tamasha la leo 8.Aug.2026 Simba inahujumiwa kwenye Azam Tv

    Bado hawajakomaa
  6. L

    JamiiForums Tanzania David Djumbe, msaidizi wa Tundu Lissu aongea mazito akiwa uhamishoni nje ya nchi 07 Agosti 2026

    Nimelia aisee,mtu mzima nimetoa machozi,na bado natoa.
  7. L

    JamiiForums Tanzania Tamasha la leo 8.Aug.2026 Simba inahujumiwa kwenye Azam Tv

    S Of course Saa kumi ndio wameanza kuonyesha mambo mengi ya uwanjani.
  8. L

    JamiiForums Tanzania Tamasha la leo 8.Aug.2026 Simba inahujumiwa kwenye Azam Tv

    Azam TV wako hewani
  9. L

    JamiiForums Tanzania Tamasha la leo 8.Aug.2026 Simba inahujumiwa kwenye Azam Tv

    Katika kuonesha matukio ya uwanjani Leo hii Tarehe 8-8-2026 Azam TV wamezingua,sijui ni kwa bahati mbaya au makusudi. Wamekua wanaonesha mahojiano Zaidi nje ya uwanja,badala ya kuonesha matukio ya ndani ya uwanja ili watu waweze kuona burudani za uwanjani na jinsi watu walivyojaa. Hali hii...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Top US general reportedly seeks path out of Iran war as military options narrow
  11. L

    JamiiForums Tanzania Silaha za NATO ni bure tu kwa Urusi

    Nimekupa mfano wa Talaban kujibu hoja Yako kua Urusi imepigana na Ukraine miaka mitano. Hatukatazwi kurejea taarifa za nyuma kujenga hoja.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Silaha za NATO ni bure tu kwa Urusi

    Nilikua namjibu "Kubwa la Maadui" wewe acha kupotosha.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Nadhani baada ya vita hii kuisha kwa namna yoyote Ile,itapelekea Marekani kubadilisha kabisa tabia zake za uchokozi na uonevu. Hili ni somo ambalo Marekani amelielewa na hatakuja kusahau.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani. Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani. Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Generali wa ngazi za juu anashauri Marekani iachane na vita,Hali ni ngumu.

    Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani. Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani. Malalamiko yamekua mengi mno kutoka Kwa wanachi wa Marekani kutaka nchi Yao iondoe majeshi vitani na Iran...
Back
Top Bottom