Mkuu nasubiri tamko lako,Mimi ni mfuasi wako Nunda.
Na Nina kundi langu kubwa ambalo linanitii humu JF na mtaani.
Sis hatuhitaji kampeni za CHADEMA sisi tunasubirigi tamko TU.
Nilikwisha kukuambia hivi wewe na CHADEMA wenzako,fanyeni sarakasi zote,piganeni vita zote,fukuzaneni usiku na mchana,Mimi hayo yote hayanihusu,ila siku ya uchaguzi wowote nitaangalia wapi lipo jina la mgombea wa CHADEMA kwa ngazi zote nitaweka tiki yangu ya ndio.
Na viongozi wa CHADEMA wale...
Kwa hiyo hiyo huo ukubwa wa Polepole hao watu wake wanasubiri afe kwanza ndio waanzishe visasi visivyokoma Hadi CCM ianguke na vitaendelea baada ya kupasuka?
Je? Hao watu wa Polepole huko ndani Kwa Sasa hawajali mateso anayoyapitia Mpendwa wao huko umatekani?
Kumbuka kwa maisha anayoishi huko...
Siku za nyuma tulikua tunaambiwa aaaah Urusi!
Urusi Cha mtoto TU kwa Marekani,
Uchumi wa Urusi haufiki hata Nusu ya uchumi wa Jimbo la California.
Watu wakaenda mabali Zaid na kusema Urusi haiwezi kupigana na marekani kwa sababu bajeti ya Ulinzi ya Marekani hata china na Urusi ziunganishe bajeti...
Marekani ni baunsa mzembe ,Kila mtu anajipigia TU
Anapigwa Hadi na machokoraa akina vikundi vya Somalia na Watalaban a hilia mbali nchi kama Vietnam na Sasa Iran
Kibaya zaidi Baunsa Mzembe kazeeka.
Supapawa wa Dunia akishirikiana na supapawa wa Middle East Israel wakipigana na nchi iliyowekewa vikwazo na kutengwa na Dunia kwa miaka zaidi ya 40 Iran.
Sasa tuangalie bajeti zao za ulinzi kwa mwaka 2025.
Iran
Iran's official military and security budget for the 2024–2025 period was set at...
Picha za satellite za Iran zilionesha uharibifu mkubwa na hasara kubwa sana Marekani ilipata kutokana na kipigo Cha Iran kilichofanywa katka makambi (bases) za Supapawa Marekani huko mashariki ya kati.
Makambi mengi yalipigwa, na ndani ya makambi hayo yalikua ni Kambi za ndege,meli,rada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.