Recent content by Lee Van free

  1. L

    Mwana Mfalme MBS amuambia Trump aendelee kutoa Kipondo kwa Magaidi wa IRGC

    Kwa hiyo Saud Arabia walikua wanamuogopa Iran siku zote? Sasa je ikatokea baunsa wao akapigwa si watahama gulf?
  2. L

    Urusi hawatupi washirika wake, Yuko Iran na sasa kapeleka mafuta Cuba, kavunja vikwazo vya Trump

    Russian tanker approaches Cuba, "despite US oil blockade" Haya ni maneno ya RT,sio yangu.
  3. L

    Dakika zinakaribia za Trump kupiga magoti na kuomba msamaha

    Israel watamuua Trump,maana ni mabingwa wa kuua.
  4. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Wepesi kishenzi yaani.
  5. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Hakuna kitu Cha maana ulichoandika ndugu. Iko hivi Uriusi wala haiogopi kuisaidia Iran kwa uwazi kwa sababu ya kuogopa vikwazo,Bali Hadi Sasa Urusi inaona Iran inawamudu USA na Israel. Ila kama muda ukifika Urusi itasaidia kwa uwazi. Issue ya kuogopa vikwazo sio shida za Urusi maana tayari Iko...
  6. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Kweli kabisa. Wao wanajionaga ndio wenye haki ya Kila kitu hapa duniani. Sasa nae Urusi ana haki ya kuwasaidia washirika wake,nae Iran ana haki ya kupokea misaada toka kwa marafiki zake. Na bado.
  7. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Ajabu sana hii. Hawa west ni wepeai sana. Na wamezoea vita rahisi. Hebu fikiria west wote ndani imo NATO wanamsaidia Ukraine lkn wala husikii Russia akitetereka. Leo wao hawataki Iran isaidiwe. Na bado marekani na Isarel wanazitaka nchi nyingine duniani ziwasaodie kupigana na Iran. Hovyo kabisa...
  8. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Hamna lolote ndugu,kwa Urusi atabikia kua mpole TU. Kashindwa kumuangusha Urusi kupitia Ukraine Tena akishirikiana na nchi zaidi ya 50. Hana jipya. Kamwekea Urusi vikwazo vyote,kamkusanyia misukule yake yote yaani NATO na All collective west lkn Mrusi anadunda TU na bado anaweza kutoka silaha...
  9. L

    Marekani yaituhumu Russia kuisaidia Iran kinyemela

    Sijawahi ona supapawa mlalamishi kama huyu. USA is overrated, Na marekani bila nyukilia ni hamna kitu. Huyu ni kubwa jinga Mzee wa kupigwa na madogo TU. Vietnam,somalia,Talabans na Sasa Iran. Huyu kama akipigania na Urusi au China si atakimbilia nyukilia huyu?
  10. L

    Urusi hawatupi washirika wake, Yuko Iran na sasa kapeleka mafuta Cuba, kavunja vikwazo vya Trump

    Russian tanker approaches Cuba, "despite US oil blockade" According to RT
Back
Top Bottom