Recent content by Lee Martin

  1. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Habari zenyu wadau wa JF. Naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa Viettel wameshaanza kupiga simu?? Maana muda umeshafika naona kimya au kuna ambaye ameshapigiwa??? Au ndio wanajipanga kututapeli.?? :bange:
  2. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Habari wana JF, nilikuwa naomba kujua kama hawa Viettel wameanza kuwapigia watu simu, maana nilituma application zangu muda mrefu wa wakasema kuanzia May 15, 2014 wataanza kuwapigia simu watu ila me kwangu naona kimya. Je au ndio wanajipanga kunitapeli?? Wadau naombeni msaada maana nipo katika...
  3. L

    URGENT:Msaada wa jinsi ya kuapply nafasi za mafunzo ya ualimu online

    Oi..Samahani wadau wa JF nilikuwa naomba msaada wa jinsi ya kuapply mafunzo ya ualimu online ktk website hizi hapa zifuatazo:- Waombaji watume maombi yao kwa njia ya MTANDAO (online application) kupitia tovuti zifuatazo: United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training...
  4. L

    Unadhan inaweza kua nn?

    sepa fasta kama hivi :flypig:
  5. L

    Utofauti wa hizi US special forces

    Israel mossad hana mpinzani dunia nzima, hata hao Wamarekani wataalam wao wengi ktk jeshi lao ni Waisrael hata ndani ya serikali ya Marekani kuna mkono wa Myahudi..:israel:
  6. L

    Sijafanikiwa kwa hiyo natangaza kwa mara ya mwisho

    Oi.. njoo nikutoe bikira yako kwanza:nimekataa
  7. L

    Majibu ya maombi ya kazi kutoka kwa HR wa Adexec Oil & Gas Company

    wadau mnasemaje kuhusu hiyo email..??:flypig::flypig:
  8. L

    Majibu ya maombi ya kazi kutoka kwa HR wa Adexec Oil & Gas Company

    Greetings Re: IT Officer Vacancy Thank you for your application for the above position. I would be grateful if you could attend an interview: At Adexec Oil & Gas Office, Near District...
  9. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Wakuu hichi kiingereza vipi? hii sio kanjanja time kweli.?? Apply lakini ukianza kuona dalili ya yale mambo yetu, sijui tuma M-PESA kula kona.. ivyo yani..!! :flypig:
  10. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Dear, Thank you for interested in our recruitment announcement. I send to you details our recruitment information and application form in the attach file, please full fill in the form and send to email Viettelrecruitment@gmail.com. After receiving your CV, we will evaluate all CV and start...
  11. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    ukianza kuona dalili za mzinga unasepa :flypig:
  12. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Viettel Global Investment (Viettel Global) has purchased a 65% stake in Tanzanian firm Epocha & Golden Ocean (EGOTEL) for USD18 million as part of a plan to invest up to USD337.7 million in the country. Viettel Global will inject USD61.7 into the would-be wireless operator as well as mobilising...
  13. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    daviey69 - nime copy kama ilivyo kutoka kwenye email yangu, embu mpigie HR umuulize kama ndio mwenyewe au ndio mambo ya kanjanja time namba ni (+255) 765667930/ (+255) 787020844; :israel:HR anaitwa Frank aisee
  14. L

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    wale waliotuma Egotel inabidi watume tena kwenda Viettel, email Viettelrecruitment@gmail.com:baby:
  15. L

    Kazi mpya SUMATRA changamkia mdau

    Please download attachement ya kazi from Sumatra.. Cheers!
Back
Top Bottom