bora umetusaidia kumjibu... wengine hawapati kazi kwaajili ya roho mbaya, kazi zinatangazwa wanaomba kmya kmya..... wakiona hawajaitwa ndio wanakuja jamvini kuuliza....😏
cv lazima isainiwe mkuu page ya mwisho baada ya declaration statement, ebu angalia mfano huo hapo zamani nmb walivyokua wanataka cv iwesigned.... hiyo nimekuchukulia ya zamani hili uelewa, lakini siku hizi hawafafanui wanajua kila mtu anaelewa kama anatakiwa kusign cv baada ya declaration...
l
leo wametumiwa email walio apply tarehe 31 july na tarehe 1 august.... wale walio aply kuanzia tareh 2augst hadi tar 11 augst tuendelee kusubir email zipo njiani.😁
hiyo kusign hata shule wanafundisha mkuu hili kuthibitisha kama maelezo uliyoyaweka kwenye cv ni ya kweli na niyakwako, then tarehe inawafanya wao wajue kama cv yako umei update na sio ya zamani... lakini ngoja tuendelee kusubiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.