Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Good morning my fellow jamiiforums members.

Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?

Maana ninaona tangu tufanye application ni muda mrefu umepita na siku zinazidi kwenda tu na hakuna shortlisting yoyote iliyotolewa na tume ya ajira. What's going on there? Should we still be waiting?
 
Good morning my fellow jamiiforums members.

Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?

Maana ninaona tangu tufanye application ni muda mrefu umepita na siku zinazidi kwenda tu na hakuna shortlisting yoyote iliyotolewa na tume ya ajira. What's going on there? Should we still be waiting?
Bado tunalipa wanaounga mkono juhudi, pesa hakuna.

Tusubirie mauzo ya vitambulisho kwanza.
 
Interview ndo ishaanza, kupitia vyeti, CV, uzalendo n.k, kumbuka, kazi za T.R.A huomba maelfu hivyo kutenda haki, kila sifa za mwombaji zinapitiwa kwa kina. Kushindwa kuvumilia ni dalili za kushindwa usaili. Keep on waiting
Good morning my fellow jamiiforums members.

Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?

Maana ninaona tangu tufanye application ni muda mrefu umepita na siku zinazidi kwenda tu na hakuna shortlisting yoyote iliyotolewa na tume ya ajira. What's going on there? Should we still be waiting?
 
Nikiangalia kale ka-section ka-call for interview naona kako empty naendelea kuskilizia
 
Back
Top Bottom