Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Good morning my fellow jamiiforums members.
Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?
Maana ninaona tangu tufanye application ni muda mrefu umepita na siku zinazidi kwenda tu na hakuna shortlisting yoyote iliyotolewa na tume ya ajira. What's going on there? Should we still be waiting?
Tulioomba kazi TRA mwaka huu 2019 kupitia Secretariat ya ajira (PSRS) tutaitwa lini kwenye interview?
Maana ninaona tangu tufanye application ni muda mrefu umepita na siku zinazidi kwenda tu na hakuna shortlisting yoyote iliyotolewa na tume ya ajira. What's going on there? Should we still be waiting?