Naomba kwa anayejua anifahamishe! Uwa wananza kutaga kwa muda gani.. Na kuku mmoja anataga mayai mangapi kwa siku!... Pia kuhusu chanjo zao dhidi ya magonjwa!.. Msaada wana JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.