Recent content by LD

  1. LD

    Rais Samia, jaribu kufuata nyayo za Hayati Magufuli

    Usijione umekaa hapo kwenye keyboard ya laptop, desktop au simu yako ukajua unaweza kuropoka ropoka tu utakavyo. Tafakari unachoandika kabla hujaandika, haujajificha kiasi kikubwa hivyo.
  2. LD

    Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

    Nifute nipate laana ya babu?
  3. LD

    Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

    Heshima yako mkuu
  4. LD

    Je kuna umuhimu wa kupima magonjwa ya kurithi (Genotype) kabla ya kufunga ndoa?

    Daahh siku ingine unaandika kama sio wewe vile
  5. LD

    Wanawake Kwa Hili Mnakera

    Una akili mbili wewe...........Mwanaume hutakiwi kuwa hivyo
  6. LD

    Kupendwa na kila mtu

    Hata Mungu hapendwi na kila MTU
  7. LD

    Wanawake Kwa Hili Mnakera

    Hawajui walitakalo
  8. LD

    Wanawake Kwa Hili Mnakera

    Kweli wapi huyo nadhani hata ukimuona kwa macho huwezi simama, huenda hata huyo dada alisimama tu kwa kuwa ni mtu wa ofisini.............Mwanaume kichwani sifuri yenye masikio.............kumbafu sana
  9. LD

    Wanawake Kwa Hili Mnakera

    Kumbafu zako, na nilikuwa nakuchora tu, mpuuzi mkubwa wewe, mshamba wakutupwa, huna haya wala hujui vibaya. Na nilikusikiliza huo upumbavu mpaka nikuone ulivyo mjinga............Yani huna hata akili moja............ptuuuuuuuuuu ana shida huyo anayekubali kuolewa na wewe. Pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  10. LD

    Wanawake wanaojiuza, si wale tu wanaosimama barabarani na kwenye baa

    Mariooooooooooooooooooo nao wamezidi siku hizi. Dume zima linategea mwanamke biliiiiiiiiiii, na mizinga ya hapa na pale, niazime laki, niazime buku 20 ntarudisha jioni.................Ndo ntoleee hiyooo huioni. Hilo nalo umeliangalia?
Back
Top Bottom