Recent content by Lazaro H

  1. Lazaro H

    Watu wawili wafariki kwenye mkutano wa CCM uwanja wa Jamhuri Morogoro

    Ni kwel bana, lakini sio kwamba geri lilifungwa wasitoke... watu walikuwa ni wengi mno, geti la kutokea lilitumika moja huku mengine yakiwa yamefungwa...
  2. Lazaro H

    CCM haiwezi kusimama mbele ya UKAWA!! People's..

    Tena wanarudi wengi sema ccm hawana ujiko wa kangaza huyu karudi... zaidi utasikia kwa kuona mikutanoni.
  3. Lazaro H

    Je, kuna ufahari gani ukaipata dunia nzima lakini ukaiangamiza nafsi yako!

    Ni mawazo yako hakuna ufahali alio upata Dkt Slaa, ila Dkt naye ni maono yake akiwa naimani ya kuiweka huru nafsi yake.
  4. Lazaro H

    Tanzania Tunakwenda Kuandika Historia

    Angalia usije aibika ukakosa hata la kunena humu, maana mnazungumza bila kubakisha maneno ya ziada.. Amani kwanza, ukikubali kushinda kubali pia kushindwa.
  5. Lazaro H

    Alinipenda kweli ila kwa haya nimeshindwa kuwa nae tena

    Elimu ya mapenzi haitolewi popote isipokuwa kupitia maisha ndani ya penzi. Mme unatakiwa kuwa limote ya kumkontro mwanamke bila kutumia nguv nyingi isipokuwa akili nyingi. Na pindi unaposhindwa kufanya hivyo hata yule mwanamke aliekupenda kwel utamuacha kwa kigezo kama hicho. Hivyo kila mme...
  6. Lazaro H

    Zitto: Iundwe Tume huru ya kimahakama kulichunguza suala la Richmond

    Zitto huwa anaseka mambo bayana, yakiwa wazi washika bendela wanaipeperusha
  7. Lazaro H

    Tafiti: Wanawake wenye makalio [hips] nene huzaa watoto wenye akili sana

    nadhani alie fanya research alikosea kutoa majibu badala ya KUNYONYESHA kw mda mrefu AKAWEKA HIPS KUBWA. Kama ni hips humfanya mtoto kuwa na akili vipi kuhusu wenzetu wajapane, wahindi n.k walionyimwa hips.
  8. Lazaro H

    Matonya amvaa Lady Jaydee, kisa picha ya udhalilishaji

    Huna haja y kulalama blo kama ni ngoma inapikwa, c itadondoka kitaa watu wataprov, cha mcngi nikujiuliz kama picture imavuj vip kuhuc mzigo?
Back
Top Bottom