Recent content by Lazarius Son

  1. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kwamba Wananchi huwa wanusimamisha Msafara wa Rais barabarani?

    mko vizuri wadau, sasa nimeelewa
  2. L

    JamiiForums Tanzania IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

    kama viongozi wa Tanzania waliosababisha hasara ya zile pesa watahojiwa na watashtakiwa lakini hao barick waliodanganya pia watakutana na wataalamu kulipa na wako tayari kulipa ila wenzetu kushtakiwa. haki Mungu haki yako itendeke pia. huu ni upuuzi kabisa, hawa barick wanalipa wanaendelea...
  3. L

    JamiiForums Tanzania BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

    Nchi hii (TANZANIA) kwanini lakini na itakuja kuondoka kama upepo na kizazi kinaharika. Mh Raisi anasema piga kazi vijana wanapiga kamari au sio, alafu kesho nani ameturoga... Ila inauumiza hata huwa nashindwa kujua...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Professor Mkumbo achafua hali ya hewa kwa kuamua kuwatolea uvivu Wapinzani kwa kuwaambia....

    Hayuko sahihi sababu kila mmoja anao uelewa wake na namna ya kutafsiri mambo ivo kutaka Mtu afikiri vile wewe unafikiri ni dhambi hata kwa Mungu, jambo la msingi ni kufanya mambo yako ikiwa wewe unaamini uko sawa
  5. L

    JamiiForums Tanzania Ombi rasmi kwa CCM: Maandamano ya nchi nzima ya kumuunga mkono Rais wetu yaandaliwe

    Hakika kuna wakati sisi kama vijana au kama watanzania tunashindwa kufikia malengo na mipango mikubwa kwa sababu ya kutotambua wapi tumetoka, yamkini tuendako Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye na hakika atatufikisha maana hakuna aijuae kesho. Kwa muda mrefu ndugu yangu umekuwa unakerwa ni kweli tena...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Tumlaani Makongoro Mahanga kwa fao la kujitoa

    kwetu sisi kumlaumu Makongoro leo sidhani kama ina msaada ila tu, tutambue viongozi wetu wengi wanafanya maamuzi ya kuondoa vitu au kuongeza kutokana na msukumo wa watu fulani au upungufu wa akili zao. Tunaweza ona mfano wa hoja mwaka 2003 kuondoa masomo ya biashara na kilimo pia kutoa michezo...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    mmetisha watanzania na kwa kweli anaepuuza mawazo ya watu kwa namna yeyote iwe mitandaoni ama katika mikusanyiko hapendi maendeleo kabisa lakini kwa mawazo haya mengi ya mlio wengi tunaweza kuona au kujiona wapi bado na nn tufanye
  8. L

    JamiiForums Tanzania Gambo: Faru Fausta tutamtunza kwa gharama yoyote hata mkisema anatumia fedha nyingi

    mambo mengine jamani.....mhhh mhhh
  9. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Charles Kichere kuwa Kamishina Mkuu TRA

    Wadau nadhani tukiwa na msingi wa mazungumzo yetu ni vema zaidi, upande wangu suala la kutengua na kuteua kila siku si jambo jema sana ila inapobidi tu na pia nahisi kuna idara au taasisi zinapaswa kubaki imara na hiyo itachangia sana utendaji wa kazi. Pili nchi inaowatendaji lukuki haijalishi...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amteua Charles Kichere kuwa Kamishina Mkuu TRA

    Wadau nadhani tukiwa na msingi wa mazungumzo yetu ni vema zaidi, upande wangu suala la kutengua na kuteua kila siku si jambo jema sana ila inapobidi tu na pia nahisi kuna idara au taasisi zinapaswa kubaki imara na hiyo itachangia sana utendaji wa kazi. Pili nchi inaowatendaji lukuki haijalishi...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Wazo la kibiashara

    400,000
  12. L

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Rais Juzi - Mimi sipangiwi cha kufanya. Leo - Nyie kwanini mnamwandika yule mnaniacha mimi?

    Pole Media.............hustle hard maana wanasiasa wanakupenda pale wanapohotaji kampeni ifike kwa watanzania lakini taarifa ikishafika na tayari wamepewa nafasi basi tena hapo ndo utaskia waanza wao kuona vyombo vya habari ni uchochezi. Hii ni Mbaya Viongozi wetu
  13. L

    JamiiForums Tanzania Wazo la kibiashara

    Rafiki sema chochote tafathali nitaelewa
  14. L

    JamiiForums Tanzania Wazo la kibiashara

    Nahitaji msaada wa mawazo juu ya wazo la uanzishaji wa biashara ya duka la kuuza na kukodisha CD ikiwepo na tigo pesa lakini kuna jengo ambalo ni sehemu nzuri kufungua kitu kama shule ya watoto wadogo na tuition pia. Nahitaji msaada wa mawazo maana kushika mbili nisije shindwa zote.
  15. L

    JamiiForums Tanzania Rais John Magufuli: Nikisema Ukweli, Watanzania Wenye Uchungu Mtalia!!!

    Siasa bwana na ndo maana ukiamini kila kitu katika siasa itakula kwako, hiyo ziara ni ya kushtukiza kwetu wasakatonge la ugali bila mboga lakini wao ilikuwa planned
Back
Top Bottom