Yaani akili za SABAYA banah! Umeona ukijitetea kupitia mgongo wa CHADEMA, MBOWE NA WANYONGE ndio utasalimika? Serikali ya awamu ya sita sio ya MAHARAMIA, Serikali ya kiharamia imeshaondoka na mwendazake.
Eitha umetumwa na Sabaya kumtetea au ni Sabaya mwenyewe ndio kakuandikia umpostie maana akili zenu ndogo zinalingana according to your writtings.
Kumsafisha Sabaya inahitaji uwe na UZUZU LEVEL YA PhD.
Mama amesema hataki wafanyabiashara wabugudhiwe. Huyu Sabaya ana madudu mengi ya hovyo, aliwahi kusema wafanyabiashara wa mabasi Arusha/Moshi-Dar wameunda genge la uhalifu kuharibu miundombinu ya reli ili biashara zao zisiathirike, kuna CCTV kamera footage zinamwonyesha akivamia biashara za watu...
Naamini ni muda sasa wa kudai rasimu ya katiba ya Warioba. Bila kufanya hivyo tutakuwa tunapoteza muda na resources bila sababu ya msingi. Kwa tume iliyopo upinzani kutangazwa washindi ni ndoto za Alinacha.
Wanachadema wenzangu tuwe na subira, fomu bado zinahakikiwa. Hakatwi mtu makamanda, tahadhari zote zimechukuliwa. Hakuna aliyewahi kushindana na nguvu ya umma akashinda.
Makamanda Peoplessssssssss!
Kwani amechukua kwa tiketi ya CCM au CHADEMA. Soma vizuri kabla ya kukimbilia kukomenti. Ishu hapa ni kuwa fomu imechukuliwa na wahuni kwa tiketi ya CHADEMA. fullstop.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.