SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Atakuwa anakutifua mtaro si bure.Sabaya ni kiboko ya Mbowe plus BAVICHA! Na huyo ni mtoto wenu, sipati picha angekuwa msukuma tungesikia kila aina ya matusi. Kampeni yenu haitafanikiwa mama Samia naye anaakili, sana mnachofanya ni kumpiga teke chura!