Recent content by lavi01

  1. lavi01

    TCRA, nawaombea msamaha Wasafi TV

    Mawio na Mwanahalisi uliyaombea msamaha?
  2. lavi01

    Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Hata sasa napata mateso makubwa, sasa ni mateso gani zaidi ya haya ambayo naweza kuyapata?
  3. lavi01

    Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Kwanini mkuu? Hata hivyo nimemsaidia sana, kumbuka toka mwanzo yeye ndo king'ang'anizi.. But huruma yangu ndo imeniponza!
  4. lavi01

    Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Mkuu nakiri kweli nilifanya makosa, hata mimi nilikuwa na mawazo ya kusema et nitampenda tu kumbe wapi nilikuwa najidanganya..
  5. lavi01

    Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Sasa mtoto wa miezi 6 ingewezekana vipi kubaki naye?
  6. lavi01

    Ushauri: Roho inaniuma, nimezaa na mwanamke nisiyempenda. Bado anataka kuishi na mimi

    Habari wadau! Katika mihangaiko ya hapa na pale kuna binti nilimkuta mahali, kifupi nikamtamani na nikataka nipite tu. Baada ya mbinu za hapa na pale, alinipa namba na tukajikuta penzini, baada ya mawasiliano ya kama wiki, nilimwambia aje home.. nilitaka kula mzigo akabana na mimi kulazimisha...
Back
Top Bottom