Recent content by Lastborn Mkubwa

  1. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Hata giza ni mwanga uliopungua

    Kuna sentensi moja ambayo ukiielewa vizuri inaweza kubadilisha kabisa namna unavyoitazama dunia: "HATA GIZA NI MWANGA ULIOPUNGUA." Watu wengi wakiisikia hukataa mara moja. Wanasema, "Haiwezekani. Giza ni kinyume cha mwanga." Lakini hebu jiulize swali moja. Giza linawezaje kutoweka kwa kuwasha...
  2. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Halo Effect hutokea pale ambapo sifa moja nzuri ya mtu inatufanya tuamini kwamba ana sifa nyingine nyingi nzuri, hata bila ushahidi wa kutosha

    Athari ya Halo (Halo Effect): Mojawapo ya upendeleo mkubwa wa kiakili unaoathiri namna tunavyowachagua watu ni kile wanasaikolojia wanakiita Halo Effect. Dhana hii ilielezwa kwa mara ya kwanza na mwanasaikolojia Edward Thorndike mwaka 1920. Halo Effect hutokea pale ambapo sifa moja nzuri ya mtu...
  3. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Saikolojia ya mahusiano; Kuelewa Hisia, Tabia na Mvuto wa Binadamu

    Uhakika kabisa ndo maana watu waliofanikiwa hawakujishughurisha na hivi viumbe mfano Nikola Tesla
  4. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Saikolojia ya mahusiano; Kuelewa Hisia, Tabia na Mvuto wa Binadamu

    Nikweli unachosema lakini maarifa ni bora zaidi ili ujue unaweza kujikabili vipi na mahusiano mabaya na jinsi ya kutengeneza mahusiano bora zaidi
  5. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Saikolojia ya mahusiano; Kuelewa Hisia, Tabia na Mvuto wa Binadamu

    🧠 SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO; Kuelewa Hisia, Tabia na Mvuto wa Binadamu. Kwanini unampenda mtu ambaye anakutesa?, Kwanini watu wazuri hujikuta kwenye mahusiano mabaya?, Kwanini baadhi ya mahusiano hudumu maisha yote, huku mengine yakivunjika licha ya upendo mkubwa? Majibu yake hayapatikani...
  6. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Dunia haijaumbwa kuwaheshimu watu dhaifu, yakupasa ujipambanie

    Ushawai kujiuliza kwanini baadhi ya watu wana nguvu, heshima, ushawishi na nafasi ya kubwa katika jamii. Basi ipo hivi Dunia haijaumbwa kuwaheshimu watu dhaifu, kwa hiyo pambana ili uheshimike. Ndiyo maana wenye sauti kubwa mara nyingi ni wale wenye nguvu ya fedha, maarifa, ujasiri au ushawishi...
  7. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania TENGENEZA NGUVU NA AMANI YA MOYO KUPITIA UKIMYA WAKO

    Usifanye vitu kwa lengo la kuwafanya watu wakutambue au wakuheshimu, kwa sababu heshima ya kweli haitafutwi kwa kujionesha bali hujengwa na tabia, uwezo na matendo yako ya muda mrefu. Wakati mwingine kuwa na kila kitu na kukionesha kila mahali kunaweza kuvutia macho ya watu wengi, lakini si kila...
  8. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa elimu na uzalishaji wa watu tegemezi

    Kwa vizazi vingi tumeambiwa: “Soma kwa bidii, utapata kazi nzuri.” Lakini maelfu ya wahitimu wenye alama A wanazunguka mitaani, wanaogopa kuanza biashara, na wanategemea mwajiri au serikali. Ulishawai jiuliza ni kwanini? Kwasababu mfumo wa elimu wa kisasa haukuundwa kukuza uhuru wa kifikra...
  9. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Kwanini tunafuata wengi hata wanapokosea?

    Asch Conformity Experiment: KWANINI TUNAFUATA WENGI HATA WANAPOKOSEA? Mwaka 1951, mwanasaikolojia Solomon Asch alifanya jaribio ambalo lilionyesha jambo la kushangaza: watu wengi wako tayari kupuuza macho yao wenyewe ili tu wasitofautiane na kundi. JARIBIO LILIVYOFANYIKA Washiriki waliitwa...
  10. Lastborn Mkubwa

    JamiiForums Tanzania Jinsi akili inavyojifunza bila wewe kutambua

    PAVLOV'S CLASSICAL CONDITIONING: JINSI AKILI INAVYOJIFUNZA BILA WEWE KUTAMBUA Je, umewahi kusikia mlio wa simu ukahisi haja ya kuichukua hata kabla hujajua nani amepiga? Au umewahi kunusa harufu fulani ikakurudisha ghafla kwenye kumbukumbu za utotoni? Hii si bahati mbaya. Ni jinsi akili yako...
Back
Top Bottom