Recent content by Last_Born

  1. Last_Born

    Je, unaruhusu simu mezani wakati wa kula nyumbani kwako?

    Sio Vzuri kutumia simu wakati wa kula
  2. Last_Born

    Je, unaruhusu simu mezani wakati wa kula nyumbani kwako?

    Huwa hawaabdamabi? Maana vijana wa sasa hivi...
  3. Last_Born

    Je, unaruhusu simu mezani wakati wa kula nyumbani kwako?

    Simu zimekuwa tatizo katika familia. Huwa unafanyaje? Je, unaruhusu simu mezani wakati wa kula nyumbani kwako?
  4. Last_Born

    Mtu aniprove wrong kwamba waislamu hawaabudu mwezi na wakristo hawaabudu msalaba

    Kwa nini sasa hawaviondoi maaana kuna wengine wameviweka madhabauni kabisa hiyo siyo kuabudu?
  5. Last_Born

    Mtu aniprove wrong kwamba waislamu hawaabudu mwezi na wakristo hawaabudu msalaba

    Kumekuwa na mjadala kuwa waumini wa dini zote hizo mbili wanaabudu mungu mmoja, lakini kuna namna ukitazama unaona kama ni ibada za sanam.......
  6. Last_Born

    Hii barua Ina kasoro kubwa sana ikiwemo hiyo

    Kujiuzulu hakuombwi wala hakuna haja ya mkuu wako kuridhia barua ya kujiuzulu ,. Kitendo tu cha kuandika Barua ya kujiuzulu huyo mtu hafai kuendelea na kazi yake Huwezi kumlazimisha
  7. Last_Born

    Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Sasa kama mtu huridhiki hayo si matatizo yako, Mimi nimeridhika wewe huridhiki nifanyeje sasa. NB: kikubwa nikojoe Mimi wewe usipokojoa shida zako
Back
Top Bottom