Recent content by Laroi Butata

  1. L

    Wasomi wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam Kupitia Mkwawa Kitu Gani Mmeandika Hapa?.

    Ninavyojua Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam na matawi yote ya chuo hicho kikiwepo chuo kikuu cha Mkwawa pale Iringa ni Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete. Kunapokuwa na dhifa ya chuo inayofanya kuwepo kwa mkuu huyo kuwepo hatuwezi kusema mgeni rasmi ni Mkuu wa Chuo bali huyo...
  2. L

    MCs, Wapiga Picha, Make-up artists n.k na matumizi ya Picha zetu

    Nenda kirafiki kwanza, ukiwa umetunza copy zenye picha zako, wakikuzingia na wewe wazingue.
  3. L

    Songea to Mwanza: Mwamba katoa chuma na kaanzisha hii route

    Wenye mabasi boresheni na kusimamia huduma za wafanyikazi wenu, mwanzo huwa wasikivu sana, baada ya kuota ndevu wanaharibu.
  4. L

    MCs, Wapiga Picha, Make-up artists n.k na matumizi ya Picha zetu

    Inaitwa BINGO. Imepewa jina la BINGO sababu ni sawa na ile kamali unayocheza ya bingo ya pata potea. Hawa jamaa wanaopiga hizo picha kwanza ni njaa, pili wanafanya biashara ya pata potea, yaani kuna wakati analipa studio shs 10 alafu anapata shs 7. Pili hawo jamaa wanafanya vile ikiwa na...
  5. L

    MCs, Wapiga Picha, Make-up artists n.k na matumizi ya Picha zetu

    Umeongea jambo la muhimu sana. Kwanza nikiwa mdau wa tasnia hii napenda kukutoa tongotongo kadhaa. Moja, kuna sheria inayomlinda mtu yeyote dhidi ya matumizi yapicha zake popote endapo hakuomba idhini, ikiwa hata kupigwa picha. Pili, baadhi ya wateja wetu huwa tuna waomba, kuwa tutatumia...
  6. L

    Rais Samia Suluhu Hassan ashiriki mkutano mkuu maalum wa uchaguzi wa viongozi wa jumuiya ya tawala za mitaa Tanzania - ALAT

    Mama analalamika waziri mkuu kuonyeshwa kibanda cha mamilioni, kwa nini asimpigie simu afanye maamuzi pale pale?, vinginevyo msilaumu kwenye majukwaa wote na hao waliojenga mnafahamiana.
  7. L

    Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

    Ila maandiko ya biblia mpaka uchapie kiasi hicho ni tatizo, ila kaka lazima tutofautishe maisha ya imani na matumizi ya imaniy hapo ndipo kuna shida. Yaani unataka kuaminisha umma kupitia andiko alafu unajijua si msimaji wa andiko, kinachotokea ni kukosea tu.
  8. L

    Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

    Acha kuandika mambo ya kusadikika. Au weka andiko la uchumba wa Yesu hapa tuanze kupata elimu.
  9. L

    Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

    Kusaidiwa nw maandiko ili kufanikisha hadhima yako inaweza kuwa sahihi endapo unatumia andiko husika ili kuponya hama kumuinua Mungu. Ukitaka kutumia tofauti basi mwisho wako huwa mbaya japo si kwa wakati huo huo. Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TanzaniaJob Ndugai alipokuwa bungeni...
  10. L

    Mbunge wa Muheza, Hamisi Mwinjuma apata ajali Morogoro

    Mbunge wa Muheza, Hamis Mwijuma maarufu kama Mwana FA amepata ajali katika eneo la Mkambarani mkoani Morogoro baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongana na gari ndogo aina ya Toyota Crown iliyokuwa ikijaribu kulipita gari lake wakiti akitoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma. Watu wawili ambao...
  11. L

    Jinsi ya kumrudisha mtu aliyeuliwa na wachawi

    Kauli ya kishetani hii ndg.
  12. L

    Arusha: Wananchi wajitokeza kwa wingi kupokea chanjo ya Corona

    Walikuwa wengi ndg mpaka chanjo kuisha mapema na wengine walikosa, huku wananchi wakija na kurudishiwa getini.
Back
Top Bottom