Sumu kunywa wewe punguani na poozeo la bashite,mwanaume unashobokea mwanaume mwenzio kama mkeo, unatia kinyaa na aibu.Bora uhamie kwa wazungu ndo wanapenda hizo mambo za kufumua marinda,sisi tamaduni zetu hazituruhusu.
Hiyo laana ulopewa na wazazi wako iko siku yako itakuja
Hao walohojiwa baada ya kuhojiwa wako wapi.
Kinana pekee kwa kua ana busara ndo bado yupo wengine walikufa, wengine hawana mashamba tena, makamba aluhojiwa lakini behind mastermind ni bashite enzi za mfu
We mzimu kamati ya maadili kukuhoji tu hiyo inatosha kuonyesha huna maadili hata kama utaita vyombo vya habari duniani.
Huo ni mwanzo tu na mda sii mrefu wanakula kichwa.
Usitake kutufanya maiti sie.sisi nasi tuna vichwa vyenye ubongo ulio na akili na wala bashite hatunyandui.
Wote walowahi...
Kuna shida mahali.
Either watumishi wa kcmc hawajui taratibu au ni uongo.
Kwanza kabisa kila hospital kubwa siku hizi kuna mtu toka nhif anaesimamia mambo yote ya wagonjwa wa nhif.
Sasa hizi 120m zilitoka wapi kama michango yake haikufika hata 50m?
Tatizo lilianza pale wakubwa serikalini walipotengeneza mfumo wa mafao ulio wa favour huko pspf, walikuwa wanalipwa wasichokichangia na kupelekea mfuko kuwa ka put.
Kikokotoo shida ni kutokana na mishahara midogo.
Serikali na kampuni zingeongeza mishahara kelele wakati wa kustaafu zingepungua.
Huwezi kulipa mafao makubwa wakati michango inayoenda kwenye mifuko ni midogo,
Ukimkamua sana ngombe utamkondesha
Lengo la serikali kufufua ATCL syo kutoa huduma, ni kufanya biashara ili lizalishe faida ili kuchangia pato la taifa.
Ingekua ni huduma basi wangeacha mashirika mengine yaendelee na biashara hiyo huku ikielekeza fedha ilizotumbukiza huko sehemu nyingine
Ukweli mtupu.
Huyu bashite anamharibia Mama.
Mpaka sasa keshampunguzia idadi ya watu waliokua na imani nae, watu wengi hawampendi bashite kutokana na makandokando yake.
Leo hii anakutukana hadharani kuwa mawaziri ulowateua wanakutukana?
Anamaanisha uliteua wahuni?
Ni tusi kubwa kuliko la Mange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.