Recent content by laptop90

  1. laptop90

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    Sumu kunywa wewe punguani na poozeo la bashite,mwanaume unashobokea mwanaume mwenzio kama mkeo, unatia kinyaa na aibu.Bora uhamie kwa wazungu ndo wanapenda hizo mambo za kufumua marinda,sisi tamaduni zetu hazituruhusu. Hiyo laana ulopewa na wazazi wako iko siku yako itakuja
  2. laptop90

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    Ushahidi upo lisu anao
  3. laptop90

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    Hao walohojiwa baada ya kuhojiwa wako wapi. Kinana pekee kwa kua ana busara ndo bado yupo wengine walikufa, wengine hawana mashamba tena, makamba aluhojiwa lakini behind mastermind ni bashite enzi za mfu
  4. laptop90

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    We mzimu kamati ya maadili kukuhoji tu hiyo inatosha kuonyesha huna maadili hata kama utaita vyombo vya habari duniani. Huo ni mwanzo tu na mda sii mrefu wanakula kichwa. Usitake kutufanya maiti sie.sisi nasi tuna vichwa vyenye ubongo ulio na akili na wala bashite hatunyandui. Wote walowahi...
  5. laptop90

    Utaratibu wa NHIF kumtaka mgonjwa akapate Rufaa toka Hospitali za Wilaya ni kero

    Kuna shida mahali. Either watumishi wa kcmc hawajui taratibu au ni uongo. Kwanza kabisa kila hospital kubwa siku hizi kuna mtu toka nhif anaesimamia mambo yote ya wagonjwa wa nhif.
  6. laptop90

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Sasa hizi 120m zilitoka wapi kama michango yake haikufika hata 50m? Tatizo lilianza pale wakubwa serikalini walipotengeneza mfumo wa mafao ulio wa favour huko pspf, walikuwa wanalipwa wasichokichangia na kupelekea mfuko kuwa ka put.
  7. laptop90

    Mbunge wa Viti Maalum, Neema Mwandabila: Naona Kikokotoo kinawaweka Wastaafu katika hali nzuri

    Kikokotoo shida ni kutokana na mishahara midogo. Serikali na kampuni zingeongeza mishahara kelele wakati wa kustaafu zingepungua. Huwezi kulipa mafao makubwa wakati michango inayoenda kwenye mifuko ni midogo, Ukimkamua sana ngombe utamkondesha
  8. laptop90

    Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

    Lengo la kufufua ATC ni kufanya biashara kiushindani ili tupate faida . OVER
  9. laptop90

    Namna Airbus A220-300 ilivyoisababishia hasara ATCL

    Lengo la serikali kufufua ATCL syo kutoa huduma, ni kufanya biashara ili lizalishe faida ili kuchangia pato la taifa. Ingekua ni huduma basi wangeacha mashirika mengine yaendelee na biashara hiyo huku ikielekeza fedha ilizotumbukiza huko sehemu nyingine
  10. laptop90

    Kamwe na katu Lema hawezi kupita Ubunge Arusha Mjini chini ya Uongozi wa Makonda

    Sasa nani kati yako na yeye ambaye ubongo umeyumba
  11. laptop90

    Kamwe na katu Lema hawezi kupita Ubunge Arusha Mjini chini ya Uongozi wa Makonda

    Huna uwezo hata robo wa kumzuia lema. Bashite arusha patamfanya kitu mbaya hadi ajute
  12. laptop90

    Rais Samia achana na Makonda, anaharibu taasisi ya Urais

    Ukweli mtupu. Huyu bashite anamharibia Mama. Mpaka sasa keshampunguzia idadi ya watu waliokua na imani nae, watu wengi hawampendi bashite kutokana na makandokando yake. Leo hii anakutukana hadharani kuwa mawaziri ulowateua wanakutukana? Anamaanisha uliteua wahuni? Ni tusi kubwa kuliko la Mange...
Back
Top Bottom