Recent content by laptop90

  1. laptop90

    Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?

    Nimetoka kuelezwa na padre juzi kati ktk ibada ya KUABUDU EKARISTI kuwa wanafanya hivyo ili kuwaamsha wanaolala. Ina maana wengi wa waumini wao wanakuwa hawasikilizi mahubiri au wanakuwa wamechoka au wanasinzia kwa mawazo
  2. laptop90

    Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani 🤔

    Kupata uhalisia tupite mahospitalini hasa makubwa, na ma kampuni ya ujenzi, ya simu na tanesco tujue zina madaktari na ma injinia wangapi. Vinginevyo akili zao zinaishia huko msingi na sekondari
  3. laptop90

    Tetesi: Tundu Lissu kufutwa uanachama muda wowote

    Ngoja tusikie toka wapi tena si umeshasema
  4. laptop90

    Naamini Simba ndiyo itachukua ubingwa ligi kuu ya NBC Tanzania Yanga nafasi ya pili

    Ni mchezo mmoja tu dhidi ya prison ndo tunaweza kupata droo mingine yote ni kuwafunga tu. Tena prison ni mchezo wa mwisho hatuna haja ya kwenda uwanjani wapewe point zote 3. Ya nini kwenda kutesa miguu ya PACONE, AZIZ,YAO NA mikono ya DIARA
  5. laptop90

    Naamini Simba ndiyo itachukua ubingwa ligi kuu ya NBC Tanzania Yanga nafasi ya pili

    Statistics za kupoteza msimu huu yanga zikoje kwqnza. Ndo tuweze kukadiria probability
  6. laptop90

    Naamini Simba ndiyo itachukua ubingwa ligi kuu ya NBC Tanzania Yanga nafasi ya pili

    Endelea tu na k vant NHIF imeshusha garama za dialysis
  7. laptop90

    PreGE2025 CAST VOTE: Kati ya Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Heche nani anafaa kuiongoza CHADEMA kuelekea 2029?

    Kwa hyo wewe unamtaka mtu anaeisema ccm na syo kuiondoa ccm kwq kuwasemea wananchi?
  8. laptop90

    PreGE2025 Lema: Nikiwa na Wenje, Heche na Msigwa makamu Tundu Lisu alituhakikishia Nafasi atakayogombea Mbowe basi Yeye hatachukua fomu!

    Lisu hawezi ondoka, akiondoka ndo atabaki kama zzk. Lisu kabebwa na mbeleko ya mbowe.
  9. laptop90

    Mtanganyika anayempinga Lissu kwenye hoja za muungano ana matatizo

    Ila kwa uongozi wa sasa wa Mama ndo kaharibu kabisaaaa. Hata sehemu zile ambazo syo za muungano mfano wizara ya serikali local government samia kateua wakurugenzi toka znz kutawala. MFANO HANIFA HAMZA mkurugenzi wa KINONDONI
  10. laptop90

    Ushahidi wa Nyaraka na vielelezo kuhusu UZanzibar wa Rais Samia huu hapa

    Kwq taarifa wazenji wanatamani tusiwe sehemu yao. Vinganganizi ni ccm tu tena walamba miguu wa huko zenji
  11. laptop90

    Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

    Kuna rais aliyeasisi ukabila kama marehemu magufuli=msukuma?
Back
Top Bottom