Recent content by lanez

  1. lanez

    Kila CEO anatamani kampuni yake iwe kama Singapore airlines

    SINGAPORE AIRLINES (SIA), hili ndilo shirika la ndege bora zaidi kwa kutoa huduma kwa wateja, yani ukichukua mashirika yote ya ndege kama British airways, Emirates, air TANZANIA nk, Singapore airline ndio alfa na omega wao kwenye huduma kwa wateja. Wamefanikiwa kuchukua tuzo nyingi zaidi...
  2. lanez

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    App naweza stream live msaada
  3. lanez

    Watu wasijitoe ufahamu, hakuna mwaka wowote kipindi cha mwendazake Ripoti ya CAG imewahi kuwa nzuri

    Ripoti ya 2018/19 ilikuwa mbaya vile vile, isipokuwa media hazikupata muda wa kujadili. Nenda kweny udart kweny ripoti za nyuma, kuna almost billion 5 zimepigwa, nenda halmashaur ya chunya mirad mingi ya wiz, nenda kyela. CCM bado ni tatizo!
  4. lanez

    Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

    Yani kumpongeza mtu within 3days tayari wapinzan wamepoteza agenda? Kwamba kwa hizo siku 3 upinzan umeacha kazi zake? Inamaana wapinzani wakiona jambo zuri wakasifia tayari wanakuwa wamepoteza agenda, mbona by then mlikuwa mnalaum kwa nini hawaungi mkono lolote. Halafu ulitakiwa ujifunze kwamba...
  5. lanez

    Naingiwa wasiwasi mno na uungwaji mkono kutoka upinzani, Usije kuwa ni lainisha upigaji kiurahisi

    Na tusingesifia wangesema hamna tunaloona ni zuri. ....bainadam kazi
  6. lanez

    Hili ndio kosa la Rais Magufuli, kujijenga kama Taasisi ndani ya Taasisi!

    Huu uzi upo relevant sana baada ya hotuba ya leo
  7. lanez

    Rais Magufuli, BoT wamefanyaje kuifanya Tsh. kuwa stable against USD?

    yupo sahihi now days ili upate USD 100, lzm uwe na 234k, wakati 2017 ukiwa na dola 100, unapata 220k. Kwa maana hiyo bado dola inapanda juu, nimechange last week hapa tabata liwit crdb
  8. lanez

    Kundi la Wabunge 19 wa CHADEMA wana siri nzito mno. Wakizibwaga, CHADEMA inasambaratika

    mkuu frankly speaking chadema kimefika kilipo, kwa sababu kinapambana na dola lkn ingekuwa CCM vs CHADEMA leo story zingebadirika kabisa.
  9. lanez

    Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

    Mimi napendekeza chadema iagize haraka nafasi zilizoachwa WAZI kujazwa, kisha waanze process za kuliagiza balaza la wanawake kuchakata na kupendekeza majina ya viti maalumu, ili yapelekwe kamati kuu kuchambuliwa, kisha mchakato uchukue muda mrefu hapo kweny kamati kuu. Kuwaacha warelax kabisa...
  10. lanez

    Historia hii itatubadilikia mbeleni kama tutaacha Tundu Lissu ashauriwe na mabeberu

    Rais Magufuli au Waziri wa mambo ya nje wangepata nafasi ya kulihutubia bunge la EU na Marekani , hapo ingekuwa mafanikio ya awamu 5,lakini Tundu Lissu kulihutubia bunge la EU na Marekani ni usaliti [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
  11. lanez

    Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

    Ni sahihi Magufuli katurudisha, mwaka 1995, ni kweli upinzan umekufa kutakwimu japo kiuhalisia bado upo, tena upo sana na ni kweli kwamba bado tunahitaji siasa za ushindani. Lakini kwa tulipofikia, mapendekezo yako ili kufufua upinzan sio sahihi, na hayapaswi kutekelezwa na Magufuli na hata...
  12. lanez

    Kamati Kuu ya CHADEMA, mkiteua wabunge wa Viti Maalumu kuingia Bungeni, mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana

    Kama viongozi wa CHADEMA wana MTAZAMO mpana na chama basi hawatakiw kupeleka wabunge wa viti maalumu, ili kuwa na future kubwa na kuendelea kukubalika. Lakin kama wakitaka mwisho wa CHADEMA uwe 2025 basi wapeleke viti maalumu. Kupeleka viti maalumu kuta prove jambo moja ambalo ni hatari kisiasa...
  13. lanez

    GE2020 Urais wa Lissu sio wa CHADEMA bali wa mageuzi nchi nzima. Viongozi Upinzani fanyeni haya

    kuna watanzania wa enzi hizo, walimuona Nyerere ni mkorofi alivyoshitskiwa na wazungu kwa kupinga serikali ya kimabavu, nyie pia hamna tofauti na wa south Africa, waliokuwa wanamuona Mandela ni mkorofi na amejitakia kukaa gerezan wakati anapiga ubaguzi kule south Africa. Kwa hiyo kupewa adhabu...
  14. lanez

    GE2020 Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?

    Mkuu umeandika vizuri, japo kuna sehemu ulitaka kuegemea upande wa chama chako lkn umejitahidi kubalance. Sasa ngoja nijibu hoja zako kama ifuatavyo... [emoji117]kuna hii watu wanaenda kuangalia muujiza, hii hoja inashadidiwa na CCM wengi, lakini tujiulize TUNDU LISSU kuna maeneo kaenda mara 2...
  15. lanez

    Hili ndio kosa la Rais Magufuli, kujijenga kama Taasisi ndani ya Taasisi!

    [emoji110][emoji110][emoji110]
Back
Top Bottom