MtuHabari
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 321
- 1,019
Amueni kwa nia moja kabisa kuwa kupata kwa Tundu Lissu ushindi sio kupata kwa CHADEMA bali kwa Watanzania wote wapenda maendeleo na demokrasia.
Adhima ya kuiondoa CCM yenye ukandamizaji na ukatili madarakani ni ya wote bila kujali ni wachama gani, hivyo watu washirikiane katika kuzika msiba huu wa taifa.
Hakuna jambo lingekuwa jema sana kama siku ya kufunga kampeni Dar kwa Tundu Lissu basi viongozi wa vyama vingine wakajitokeza jukwaa moja na kutoa salamu pamoja kuonyesha wanamuunga mkono.
Akiwepo Zitto, Membe, Rungwe, hata na wale wasaliti Lipumba na Mbatia wakija na kutubu heshima yao itarudi na wananchi wataelewa somo.
Mkusanyiko huo hauna shida tena kisheria maana serikali ijayo haitaona ni shida Bali kutafuta njia za kufanya kazi pamoja huku majizi ya CCM na wenzao wakitupwa pembeni.
SHIRIKIANENI JAMANI
Adhima ya kuiondoa CCM yenye ukandamizaji na ukatili madarakani ni ya wote bila kujali ni wachama gani, hivyo watu washirikiane katika kuzika msiba huu wa taifa.
Hakuna jambo lingekuwa jema sana kama siku ya kufunga kampeni Dar kwa Tundu Lissu basi viongozi wa vyama vingine wakajitokeza jukwaa moja na kutoa salamu pamoja kuonyesha wanamuunga mkono.
Akiwepo Zitto, Membe, Rungwe, hata na wale wasaliti Lipumba na Mbatia wakija na kutubu heshima yao itarudi na wananchi wataelewa somo.
Mkusanyiko huo hauna shida tena kisheria maana serikali ijayo haitaona ni shida Bali kutafuta njia za kufanya kazi pamoja huku majizi ya CCM na wenzao wakitupwa pembeni.
SHIRIKIANENI JAMANI