Recent content by lanesto

  1. L

    Day 1 !!! Uhamiaji

    Naiwe ivo ili wanyonge nao wabahatike!Mungu atatenda Miujiza.
  2. L

    Afisa tarafa

    Mbona kwenye website yao majina hayo hayapo?Msaada zaidi
  3. L

    Afisa tarafa

    Ninamdogo wangu alifanya usaili Utumishi wa Afisa Tarafa vipi walisha itwa watu kazini?Naomba kujuzwa!
  4. L

    Naomba kujuzwa kuusu MDAs and LGAs

    Wa JF naomba kujuzwa kuhusu kuitwa kazini kwa wale tuliofanya usaili wa mahojiano tar 19/06/2014 Utumishi kwa niaba ya Serikal kuu na za mitaa(MDAs&LGAs) kama Afisa tarafa,tawala,ustaw wa jamii
  5. L

    Sekriterieti ya ajira mbona hamueleweki

    Chek kwny website yao wametupia majina ya walioitwa kazin sehemu mbalimbal kwa agr,livestock n.k
  6. L

    Office Manager wanted - Lady

    Only ladies?
  7. L

    Siombi tena kazi uhamiaji

    Majna ya wakubwa ndo mengi na C/o za watu wanaofahamika c tuliotoka familia masikin ndo tuliokosa bt tukomaa tu tutatoka hata bila kuajiliwa me saiv na degree yng nimekuw mpiga picha kitaa wananicheka bt nakomaa kiaina
  8. L

    Tuishitaki TPB Bank kwenye tume ya ajira

    Watu washareport vituon
  9. L

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    We dogo ucwe mpuuz kwanza nenda ulikopata acha tamaa me ninamiaka 7-sina kaz na maomb natma kila day na cjapata na deal na ujacliamal sa we unataka kuchezea kaz hay utazibua vyoo mtaan bila vifaa shauri yako
  10. L

    Kwa wale degree holders mnaotaka kujiunga na JWTZ

    Naomba nyie mlioko kwnye chanel za Jwtz mtusaidie sie tusie jua mbinu za kujiunga kama me napenda sana kuitumikia nchi ynga na ujuz mzur tu ktk Remote sensing and GIS niliyoisoma kam ni course mojawapo ktk bachelor yng xo tusaidien wadau c sote watz!
Back
Top Bottom