Wa JF naomba kujuzwa kuhusu kuitwa kazini kwa wale tuliofanya usaili wa mahojiano tar 19/06/2014 Utumishi kwa niaba ya Serikal kuu na za mitaa(MDAs&LGAs) kama Afisa tarafa,tawala,ustaw wa jamii
Majna ya wakubwa ndo mengi na C/o za watu wanaofahamika c tuliotoka familia masikin ndo tuliokosa bt tukomaa tu tutatoka hata bila kuajiliwa me saiv na degree yng nimekuw mpiga picha kitaa wananicheka bt nakomaa kiaina
We dogo ucwe mpuuz kwanza nenda ulikopata acha tamaa me ninamiaka 7-sina kaz na maomb natma kila day na cjapata na deal na ujacliamal sa we unataka kuchezea kaz hay utazibua vyoo mtaan bila vifaa shauri yako
Naomba nyie mlioko kwnye chanel za Jwtz mtusaidie sie tusie jua mbinu za kujiunga kama me napenda sana kuitumikia nchi ynga na ujuz mzur tu ktk Remote sensing and GIS niliyoisoma kam ni course mojawapo ktk bachelor yng xo tusaidien wadau c sote watz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.