Recent content by landula

  1. L

    Samuel Sitta Wajibika, Sio siri sasa uhusiano wetu katika Afrika Mashariki umedorora sana

    Who is a neighbour? We can also stand alone.
  2. L

    Mkuu wa Mkoa Dodoma,Nipo tayari kujiuzulu kwa sababu ya Maandamano ya vyama vya Siasa

    Si kila maandamano yanazuiwa. Tungependa atenganishe maandamano lakini pia aende mbali aelewe nia ya maandamano husika. Asiwe mbabe tu.
  3. L

    Kazi ya kusaka Mabilioni nje yaanza: Rostam, Mbowe, Ngeleja wahojiwa!

    Kwan kikanusha ni lazima? Ukimya pia ni jibu. Serikali inauwezo wa kufuatilia na kujua, wafanye hivyo. Kama unataka akanushe nenda kamhoji.
  4. L

    Makinda: Mishahara ya wabunge ni midogo, wanakuwa hoi wakimaliza ubunge

    We need to stand strong against this banditry.
  5. L

    CHADEMA Kusambaratika kama NCCR-Mageuzi siku si nyingi

    Kama ni uchambuzi huu ni uchafu. Kwanza kwanini tufikiirie tu vyama vya upinzani kuangika na si ccm? Utofauti Wa fikra ndio ubora wa chama. Hawezi kuwa na fikra Sawa kama nyumbu wavukao mto halafu mkasema mko Sawa. Utofauti wa fikra upo hata chama tawala na hili si jambo baya. Nafikiri sote...
  6. L

    Tusipotoshe umma Rais Uhuru Kenyetta, alimshukuru Rais J Kikwete

    Hamna haja ya malumbano, tenda wema uende zako .................................
  7. L

    Tume ya Warioba yatishia kujiuzulu

    Kwao chama ni muhimu kuliko taifa ndio maana wanataka mswada utiewe sain japo mapungufu kibao.
  8. L

    Wassira hakika umepasua jipu, asante kwa kuelimisha watanzania

    Kwanza kabisa napenda kuwashsauri waendesha vipindi redion na kwenye television kuwa kama si ushsbiki Wa kichama basi wawe wanatuwekea pande zote mbili yaani chama tawala kwa maana ya serikali na wapinzani kwa upande mwingine. Haya mambo ya kuweka upande mmoja dhidi ya hewa, hayatusaidii Wa tz...
  9. L

    Maalim Seif ampongeza Mbowe

    Ukweli uko palepale whether kamsiafu au la.
  10. L

    Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

    Saa ya ukombozi ni sasa mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
  11. L

    Membe: Balozi wa China amefanya makosa makubwa! Serikali kuchukua hatua

    Huyu Balozi naye mbumbumbu, hakujua kuwa sheria hazimruhusu? Sasa ameuzwa na wajanja du!
  12. L

    Tanzania yatengwa EAC community

    Let them go they are selfish. Rwanda, Uganda and Burundi are same people. They are brothers my worry is on Kenyans. Watch out Kenyatta.
  13. L

    Maalim Seif Hamad apinga CUF kuungana na CHADEMA

    In short hana jipya anatetea madaraka yake tu. Katiba ni swala la kitaifa si chama chochote. Tunaijenga tanzania kama taifa na wala si cuf wala cdm au ccm. Viongozi wetu wawe makini wanapotoa kauli zao.
  14. L

    Katibu Mkuu wa CCM, Kinana ahitimisha ziara yake ya kuimarisha CCM Shinyanga kwa kishindo

    Miradi ya serikali inazinduliwa na chama? Kodi zetu hizo si za chama. tungefurahi zaidi angezindua rais. So far we have forgotten about party supremacy but we see it creeping gradually into the present politics. Ajabu!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom