Recent content by Lamtemakuni

  1. L

    ACT-Tanzania kufanya Mkutano Mkubwa Tegeta Jumapili; Zitto Kupewa kadi

    Chadema Itadumu daima,ccm b c d,,,,zinapita tu.:A S 20:
  2. L

    Star TV acheni upotoshaji kuhusu Mahakama ya Kadhi

    Wakirsto saivi wanakimbizana kujenga mavuo vikuu baada ya Kuwa na mashule ya kutosha,wenzangu na mie tunakimbizana na mahakama ya kadhi.tukishangaa wakristo wameshatupiga bao TENA.hiyo mahakama haitatuongezea uwezo was kujiongeza kielimu dunia wala haiwezi kutupa kazi za...
  3. L

    Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

    Kafukuzwaaaaaaaa,hajang'atuka.kiswahili kigumu sana.Zito ni msaliti tu haa iweje....
  4. L

    Faiza Ally (Ex wa Mheshimiwa), awajibu Wambea

    Dada,hongera kutujuza.wazazi shirikianeni KumLea mwanenu vena.tofauti zenu kisiwe kigezo cha kuzorotesha malezi ya mtoto.
  5. L

    Shamba linauzwa lipo Kibamba

    Kibamba wapi?to a maelezo vizuri,isije unataka uza eneo lenye mgogoro?:lol:
  6. L

    Rehema Chalamila live on clouds fm anatangaza mda huu wa mchana.

    Hapo clauz sindo wauzaji kweli kwenye hayo matamasha yao?
  7. L

    Tafakuri Chokonozi: Mahakama imegeuka adui wa Zitto?

    Kazi Ipo,CHADEMA dumu.......
  8. L

    Mchungaji huyu anasakwa kwa uhusika na mauaji ya Albino

    Mwenge,Mtume na Nabii so mchungaji...badala ya kuishupalia serial(dola)ifanyekazi ya kuzuia uhalifu,sikuacha uhalifu utokee ndo waanze porojo tunaanza kuingiza udini huku.Usalama wa Taifa waache siasa wasimame kidete kuzuia kila utekaji wenye kuleta ukakasi nchini.
  9. L

    Mchungaji huyu anasakwa kwa uhusika na mauaji ya Albino

    Shetani na Mungu muumba Mbingu name vyote NANI zaidi?seriali haipo makini kwa kuogopa kuwagusa wachawi kwa kuwa wanawategemea.jambo chili ni dogo sana tungekuwa na japo 25% ya viongozi wa juu wacha Mungu.wengi ni maharamia ndo mana hata hoja kuhusu askofu,si shekhe haina mashiko...
  10. L

    Mchungaji huyu anasakwa kwa uhusika na mauaji ya Albino

    Hamna kitu hapo niuzushi kama kawaida.wahusika ni wakubwa serikalini.ndo mana usalama wa Taifa wapo kimia sana..
  11. L

    Escrow: Stanbic Bank kuchafua hali ya hewa

    He mkulu wa kaya yumo???siutani..
Back
Top Bottom