Kuna wakati unajipima kujiamimi, unapiga pamba kali simu kali halafu unapitia hata kwa wachina unaulizia bei ya basi la Yutong na utaratibu wa kulipata,
Kuna jamaa alienda Toyota Motors pale Posta kuulizia V8, wakati hana hata uwezo wa kumiliki IST,
Kufika kwa Meneja akanywa kahawa na akaacha contact, Hakurudi hadi leo,
Kama furaha ni kumnyonga, mbona wanachelewa, wamnyonge hata leo,
Naamini hata bila kumyonga, kwa madhila waliyomfanyia, watapata malipo yao stahiki kwa muda sahihi,
Kuna watu wana roho mbaya sana, unamtesa binadamu mwenzio kiasi hiki kisa siasa,
Hawana akili, hiyo Takataka unaweka ndani ya Mahakama Kuu,
Nchi imefikia hatua mbaya sana, kama hao mashahidi Kuna haja gani kujificha kama ushahidi wao ni wa kweli?
Kashushiwa kipigo, Hana hata kovu usoni? Au aliwaelekeza sehemu za kupiga?
Waache maigizo, kila mara wanasema ni wakatoliki lakini hawataji kanisa na jumuia wanayoshiriki,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.