Recent content by lamshaba

  1. L

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu anafuga nguruwe na ni mchafu wa kuzaliwa

    Hapa umamainisha hao nguruwe awavalishe nepi?
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kati ya Fani zifuatazo unashauri kijana aliyemaliza chuo ajifunze kwa future?

    Umemaliza yote mkuu, hakika hii fani unaifahamu vizuri, Na hii sio mafundi tu hata anaetaka kuwekeza anaweza kuwekeza humo, gharama ni ndogo na faida ni kubwa sana,
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kati ya Fani zifuatazo unashauri kijana aliyemaliza chuo ajifunze kwa future?

    Kazi na umri mkuu, hao wazee wako kwenye miaka zaidi ya 60, waliridhika na ajira ya Mhindi hawakuwa na mawazo ya kujiongeza, Lakini kwa fani hii ukiweza kujiajiri unapiga hela ndefu sana, bado mafundi waliojiajiri sio wengi sana
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kati ya Fani zifuatazo unashauri kijana aliyemaliza chuo ajifunze kwa future?

    Ni fani nzuri, inaitwa Fitter/Tuner lakini shida iko kwenye kujiajiri, lazima update set ya machine zote kama Miling machine, Sheper na Lathe Mashine na driling ambazo ukipata used ni bei kubwa sana, Ukiajiriwa hutoboi, utaishia kufanya kazi kwenye Workshop za Wahindi kwa ujira Mdogo, Nawajua...
  5. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Hiki kituko kinapatika Tanzagiza tu, Wazungu wakituona kima tunalalamika ni ubaguzi
  6. L

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kukiita chama kilichosajiliwa kihalali kama chama fake?

    Waanze na Wasira kila mara anasema Chadema imekufa, Kusingizia kifo kifo pia ni kosa la jinai,
  7. L

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaiomba Marekani kuiondolea vikwazo vya Viza

    Kisiwa cha amani kina vikwazo. Na watuhumiwa wa ugaidi zaidi ya 100 wapo mahabusu
  8. L

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Mbeho kole utare mfele, Kure rangi utelolya ku mwanandie, ukakolya hata kasubu ka nguruve unywe,
  9. L

    JamiiForums Tanzania Je, ukweli ni upi kuhusu vyombo tunavyotumia Kwa chakula?

    Hahaha, umenikumbusha mbali, mboriko na iraambo, Yaani bakuli na sinia
  10. L

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Mbeho ya hapa mkuu sio poa, hapa Matasha Bar tumejichimbia ndani, nje hakufai kuna mbeho ya hatari
  11. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ya Rais wetu Gulf Stream iko wapi??

    Swadakta, pia kashelfu kadogo pembeni cha kuweka ngumu kumeza,
  12. L

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ya Rais wetu Gulf Stream iko wapi??

    Bila kusahau sehemu maalum ya kutengenezea urojo na sharubati
  13. L

    JamiiForums Tanzania Je, mabeberu wataruhusu tupate katiba mpya itakayogusa Maslahi yao?

    Kwa hiyo hii Katiba ya kujitangazia ushindi feki wa 98% na kuuwa watu mliachiwa na wakoloni, Kwa si mnasema ni nchi huru msipangiwe? Iweje mkaridhi katiba mbovu kama hii? Hao wakoloni wakitaka chochote hamna ubavu wa kuwazuia, tena huwa mnawaita wawekezaji,
  14. L

    JamiiForums Tanzania Jambo likitangazwa na Waziri, Jeshi la Polisi linaweza kutengua?

    Tena alilitolea Bungeni, kuongezea uzito, Na Madelu akajaa upepo lakini linatenguliwa na DCP wa Polisi wala sio IGP, Katiba ya hovyo sana unaigeiza unavyotaka,
  15. L

    JamiiForums Tanzania Kutosaini Death Warrant ni Busara, Kuna Wanao Hukumiwa kwa Makosa na Kunyongwa Bila Hatia!, Hata Mwamwindi Alihukumiwa Kifo na Kunyongwa Kwa Makosa!

    Kwani una nini Mayalla? Mbona mada za kunyongana unazileta sana. Kama wamepanga kumnyonga Mr Lissu wafanye hivyo mapema kama wanaona ndio njia ya kufurahia madaraka waliypora kwenye uchaguzi.
Back
Top Bottom