Recent content by lamshaba

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kutosaini Death Warrant ni Busara, Kuna Wanao Hukumiwa kwa Makosa na Kunyongwa Bila Hatia!, Hata Mwamwindi Alihukumiwa Kifo na Kunyongwa Kwa Makosa!

    Kwani una nini Mayalla? Mbona mada za kunyongana unazileta sana. Kama wamepanga kumnyonga Mr Lissu wafanye hivyo mapema kama wanaona ndio njia ya kufurahia madaraka waliypora kwenye uchaguzi.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Lowassa agawa Shilingi 200,000/= kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa (CCM) Mkoani Kagera

    Unaanza kupima oil kwa kidole, Whiskey zikizidi unatumia ulimi ukifika maeneo, Kuwa makini bado tunakuhitaji jamvini kwa mada zako ukinyonga
  3. L

    JamiiForums Tanzania Lowassa agawa Shilingi 200,000/= kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa (CCM) Mkoani Kagera

    Pamoja na Johnmtembezi kushuka chini, Kuna wakati unaleta mada za kupima upepo, kama hii
  4. L

    JamiiForums Tanzania Lowassa agawa Shilingi 200,000/= kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa (CCM) Mkoani Kagera

    Unawza kutumwa na Chupa za Grants Whiskey unazopiga hapo Bahari Beach Jeshini
  5. L

    JamiiForums Tanzania Habari njema kuhusu Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu, Hata akihukumiwa kunyongwa!, Hatanyongwa! Rais mwenye Sifa hizi, hawezi Kusaini Death Warrant

    Haijawahi kutokea Duniani mtu mmoja kula njama za kufanya uhaini. Tena mtu mwenyewe sio asari wala kiongozi wa serikali, pia hana silaha yoyote hata bisibisi, Paskali ni mmoja ya wanaotumwa kupima upepo, hapo kajibanza sehemu anasoma comment,
  6. L

    JamiiForums Tanzania Kitengo cha Propaganda CCM kuweni smart na Proffesional!

    Sasa ni CCMM, Chama Cha Majeshi na Mabunduki
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kwa nini ni wazi huyu kijana wa Bavicha pwani Katumwa chukua hizi hints za kijasusi

    Umenikumbusha wakatoliki wa vijora, aibu wanaona wao
  8. L

    JamiiForums Tanzania Ni Dhahiri Mamluki hawana Intelijensia, baada ya kuhongwa kwa Selasini kuvuja tangu juzi, sikutarajia video zake kuachiwa

    Kabisa mkuu, lakini hapo kinyago kilichobadilika kuwatisha ni Chadema, Hivyo vingine CCM wanaviswaga wanavyotaka,
  9. L

    JamiiForums Tanzania Ni Dhahiri Mamluki hawana Intelijensia, baada ya kuhongwa kwa Selasini kuvuja tangu juzi, sikutarajia video zake kuachiwa

    Wote waliosaliti na baadae kujirudisha, hawana nia nzuri, hata Mch Msigwa nae sio wakumwamini sana, Hivi Umati wote unaohudhuria mikutano yao hawewezi kupata wanachama wapya ? hadi kurudisha wasaliti na mamluki, Selasini anayefahamika kwa usaliti mnamrudisha ili chama kipate faida gani
  10. L

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: David Kafulila ni kiongozi kijana, msomi na ana-exposure

    Kama ameona Tumbili yupo vizuri kiasi hcho, basi ampishe awe PM
  11. L

    JamiiForums Tanzania Kabla ya sasa hivi tulishwahi na Waziri wa Fedha Mzanzibari kwenye muungano?

    Mzee Mgimwa alisimama kizalendo, mafisadi waamua kumgima,
  12. L

    JamiiForums Tanzania Tuliokuwa wamiliki wa nyumba zilizovunjwa na serikali ya CCM Morogoro Road tutaandamana tarehe 7.7.2026 kudai ardhi yetu

    Kuna petrol station na parking za malori zinaota kama uyoga kwenye eneo lililovunjwa nyumba kupisha barabara,
  13. L

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Madelu na Kitambi wanatoa macho tu jitu linatangaza kumiliki kikundi cha waasi halafu wanawachekea,
  14. L

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Hiki anachofanya Mwaipopo ndio tafsiri halisi ya uhaini, ana kundi lenye mafuzo lenye vijana 38,000. Halafu Polisi wako kimya wanahangaika na Lissu na Chadema, wanafikiri watakaoumizwa ni wapinzani, lakini naamini hata kwenye Familia zao wataumizwa pia
Back
Top Bottom