Kwani una nini Mayalla? Mbona mada za kunyongana unazileta sana.
Kama wamepanga kumnyonga Mr Lissu wafanye hivyo mapema kama wanaona ndio njia ya kufurahia madaraka waliypora kwenye uchaguzi.
Haijawahi kutokea Duniani mtu mmoja kula njama za kufanya uhaini. Tena mtu mwenyewe sio asari wala kiongozi wa serikali, pia hana silaha yoyote hata bisibisi,
Paskali ni mmoja ya wanaotumwa kupima upepo, hapo kajibanza sehemu anasoma comment,
Wote waliosaliti na baadae kujirudisha, hawana nia nzuri, hata Mch Msigwa nae sio wakumwamini sana,
Hivi Umati wote unaohudhuria mikutano yao hawewezi kupata wanachama wapya ? hadi kurudisha wasaliti na mamluki,
Selasini anayefahamika kwa usaliti mnamrudisha ili chama kipate faida gani
Hiki anachofanya Mwaipopo ndio tafsiri halisi ya uhaini, ana kundi lenye mafuzo lenye vijana 38,000.
Halafu Polisi wako kimya wanahangaika na Lissu na Chadema, wanafikiri watakaoumizwa ni wapinzani, lakini naamini hata kwenye Familia zao wataumizwa pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.