Recent content by lamshaba

  1. L

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Peter Msigwa: Kama ungekuwa Mkuu wa Mkoa au Wilaya ungerudi CHADEMA?

    Kwema mkuu, Eric Kabendera anakusalimu, u hali gani baada ya kumpitisha kwenye tanuru la moto.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Namshauri Jaji Chande akimbie nchi, akiwa nje atueleze ukweli kuhusu uchunguzi wao

    Kwangu bora hata huyo Chande, Kuna yule Mwambengele alietangaza ushindi wa asilimia 98 huku nchi iliwa imechafuka vile,
  3. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Amezingua aliposema hakuwa na account kwenye hiyo bank, halafu anataka mkopo wa Bilion 3
  4. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Kuna wakati unajipima kujiamimi, unapiga pamba kali simu kali halafu unapitia hata kwa wachina unaulizia bei ya basi la Yutong na utaratibu wa kulipata,
  5. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Kujiamini ni kuzuri sana, na ukijua kuongea na kujipangila vizuri inapendeza, pia uwe na mwonekano mzuri,
  6. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Kuna jamaa alienda Toyota Motors pale Posta kuulizia V8, wakati hana hata uwezo wa kumiliki IST, Kufika kwa Meneja akanywa kahawa na akaacha contact, Hakurudi hadi leo,
  7. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Hii chai ya karafuu, yani uende ktk Bank ambayo hata huna A/C utake kukopa Bln 3, Huyo meneja ni mstaarabu sana kukupokea mteja kama wewe,
  8. L

    JamiiForums Tanzania Jela Maisha kwa kumuwekea dawa za kulevya kisha kumlawiti kijana aliyempa hifadhi

    Dunia haina huruma kabisa, Wema wake umemsabibishia madhila ya kulawitiwa, na kwa vile alizima jamaa alimfanyia ufedhuli wa kutisha,
  9. L

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Kwa njaa ya Bongo, mtu anakuuza hata kwa elfu 50
  10. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kesi ya Lissu: Hiki ndicho Kizimba cha mashahidi wa kificho, kilichosababisha Kesi kuahirishwa

    Kama furaha ni kumnyonga, mbona wanachelewa, wamnyonge hata leo, Naamini hata bila kumyonga, kwa madhila waliyomfanyia, watapata malipo yao stahiki kwa muda sahihi, Kuna watu wana roho mbaya sana, unamtesa binadamu mwenzio kiasi hiki kisa siasa,
  11. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kesi ya Lissu: Hiki ndicho Kizimba cha mashahidi wa kificho, kilichosababisha Kesi kuahirishwa

    Hawana akili, hiyo Takataka unaweka ndani ya Mahakama Kuu, Nchi imefikia hatua mbaya sana, kama hao mashahidi Kuna haja gani kujificha kama ushahidi wao ni wa kweli?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Sasa mbona na wewe unabweka humu, si uende kwake ukamshauri Kama hupajui kwake, wadau humu watakuelekeza uende,
  13. L

    JamiiForums Tanzania Aliyewashtaki viongozi wa kanisa katoliki (Lucy Antony) ashushiwa kipigo na watu wasiojulikana

    Kashushiwa kipigo, Hana hata kovu usoni? Au aliwaelekeza sehemu za kupiga? Waache maigizo, kila mara wanasema ni wakatoliki lakini hawataji kanisa na jumuia wanayoshiriki,
  14. L

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyesaidiwa na Rais Samia aanza matibabu ya Kibingwa MOI

    Wakishakuwa machawa wanajiona sheria haziwahusu
  15. L

    JamiiForums Tanzania Mwandishi awabana waumini aomba kuona uthibitisho kama kweli ni wakatoliki

    Tunamjua Madelu, hizi ndio mambo zake, rejea kesi ya ugaidi ya Lwakatare, alidai anao ushaidi wa duniani na mbinguni, Lakini hadi leo kimyaaa
Back
Top Bottom