mie mwenyew hako kaugonjwa no.2 ninako ila pesa ya kwenda huko cna imebdi nianze kwa kugombea uenyekiti najua ntafika tu huko na kuwa fudodido wa nchi then wiki ya kwanz tu thetre europe
wapga majungu wamesha anza na majungu yao cjui nani aliwatuma waangalie ila mashetani mengne bhana yanatia hasira wivu tu yaone mimacho yao.Jamaa amewakilisha nchi yetu na ameshnda bdala ya kumpongeza yanapga jungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.