Kumpiga mzee kama Warioba ni laana kinyama, halafu akamfungia kamba za viatu riz moja, akapewa cheo sasa, Loing'oni anakuja kama Lowaru kerikeri, huo ukuu wa nini sijui utausikia kwenye bomba..!!
Zamu yake ya urais ilipokaribia ndio maneno yakaenea zaidi, kwanini? waliona hakuna njia ya kumzuia kuingia ikulu, wakawatuma watoto waanze kumchafua kwa ahadi ya kupewa madaraka na wengine wateuliwe wao kwasababu ya undugu wakamchafua sana bila huruma, but iwe isiwe ukawa tutaingia ikulu kwa...
Mimi sijui nitumie lugha ipi, maana umeme hapa arusha ni kama hakunaga tanesko, umeme ukikatika asubui saa kumi na mbili ni mpaka saa saba za usiku au nane.! wakazi gani na mtu umelala, mi waje tu wawekezaji wa umeme hii shida iishe..!!
Kwa vile umeshapita, tunaomba utudadavulie kuhusu umeme, ni mgao umeanza kimyakimya au kuna matengenezo yasiyoisha yanaendelea? umeme unakatika saa 12:00am unarudi saa 7:00pm usiku, tuufanyie nn na wakati huo tumelala? naomba utoe taarifa tafadhali..!!
Sasa Mh. Lipumba hata mtu akiwa mkristo akabadili na kuwa muislam ataacha yote ya ukristo na kuyashika ya uislam, vilevile akiwa muislam akawa mkristo ataacha ya uislam na kufuata ya ukristo, maana yangu ni kwamba Mh. Lowassa aliipinga hiyo katiba akiwa ccm sasa amekuja chadema (...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.