Recent content by Ladymilly

  1. L

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Hahahaha nacheka kama mazuri Mwakyembe unajizalilisha kheri uwe kimya
  2. L

    Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

    Kasongo umefurahi sana
  3. L

    NEC Yakemea Mikusanyiko Kulinda Kura

    Nitakaa mita 200 kulinda kura over
  4. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Walimu ndio waliotufiksha hapa nawathamini sana
  5. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Ningetaka mume au bwana ningesema wewe mwenye mawazo mgando unadhani wote tunawaza kama wewe tufikiria maisha tunahitaji kupanuka kifikira kutoka kwa watu tofauti
  6. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Unaujua umri wangu unataka nitake Rafiki mtoto ambaye hatuendani atanishauri nn? Na kama hajaenda shule unahisi mawazo yake yatakuaje kuwa muelewa ukiona haikuhusu kaa kimya anayehitaji Rafiki atakuja
  7. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Naweza nikawa tofauti na unao wafahamu ningetaka mchumba,mume ningesema nahitaji mchumba au mume narudia nahitaji Rafiki
  8. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Kwani walimu sio watu? Hawafai kuwa marafiki?
  9. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Ujaelewa post Rafiki ningehitaji mume ningesema nipo very open y nizunguke
  10. L

    Nahitaji Rafiki wa kiume

    Hahaha umeona
Back
Top Bottom