Ningetaka mume au bwana ningesema wewe mwenye mawazo mgando unadhani wote tunawaza kama wewe tufikiria maisha tunahitaji kupanuka kifikira kutoka kwa watu tofauti
Unaujua umri wangu unataka nitake Rafiki mtoto ambaye hatuendani atanishauri nn? Na kama hajaenda shule unahisi mawazo yake yatakuaje kuwa muelewa ukiona haikuhusu kaa kimya anayehitaji Rafiki atakuja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.