In my next road trip to Iringa, ntasimama kununua karanga na mimi. Niwaunge mkono vijana wetu wanaaopambana.
Ila Mahindi ya kuchoma pale baada ya kupandisha Kitonga sinunui! Yaani wote wauzaji na wanunuzi kwenye magari mpaka washike shike muhidi wote - eti wanachagua; Nilitaka kutapika kwa...
Nakubaliana na huu mrejesho kwa kweli. T1 ni changamoto kubwa. Pia, kuna many growing towns kama (Mikumi, Tanangozi, Mafinga) unakuta malori yanapaki barabani kwa sababu hayana mahali pa kuwekwa. Barabara yenyewe tayari nyembamba! It is very dangerous.
Dar to Moro is a nightmare! Wazazi wangu waliendesha wiki iliyopita kwenda Iringa, iliwachukua masaa karibu sita kufika njia panda ya mzumbe. Waliamua kulala Mikumi pale Tanswiss na kuendelea na safari kesho yake ili wasiendeshe usiku. Wanasema kuna foleni sana kutoka Dar to Moro. Watujengee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.