Recent content by Lady kg

  1. L

    Msaada: kuhusu Fao la Uzazi

    Nahisi limefutwa kiaina maana mimi tangu nimejifungua mwaka jana mwezi wa nane tarehe 1 mpk leo kimyaaaa na nilishajaza mafomu yao na kuwapelekea.
  2. L

    Nahitaji mizani used 0 mpaka 10 kg

    Nahitaji mzani nakupataje??
  3. L

    Serikali ya wanyonge imulikeni haraka PSSSF kabla hawajawavuruga watumishi na Serikali. Kanuni yao haivumiliki

    Wajanja hawa wanashindwa kusema ukweli, wamekula hela za wanyonge sasa wanatunga sheria za kuwaminya
  4. L

    Serikali ya wanyonge imulikeni haraka PSSSF kabla hawajawavuruga watumishi na Serikali. Kanuni yao haivumiliki

    Hii mifuko ilivyokuwa mingi ndo ilikuwa inaleta competition na ht pspf na nssf walianza kujirudi, sasa inaenda kuwa km tanesco na dawasco watafanya wanaoamua daah
  5. L

    Serikali ya wanyonge imulikeni haraka PSSSF kabla hawajawavuruga watumishi na Serikali. Kanuni yao haivumiliki

    kuna kindergarten wana akili sana, akili zao zinakuwa sawa na vichaa cjui ndo maana wanajiita vichaa, maana kwa mtu mwny akili timamu asingeweza kupitisha hii sheria onevu
  6. L

    Rais Magufuli atoa dola 20,000 kusaidia matibabu ya Ruge Mutahaba mkurugenzi wa CMG

    Me naamini nyie ndo mnapata tabu maana mnapambana kwa nguvu zote ht kusifia visivyosifika, hakuna mnafiki anayeweza ishi bila kupata tabu, nowdays mmejawa unafiki kupongeza ht visivyopongezea aaaaaaaaaaaaaaah
  7. L

    Rais Magufuli atoa dola 20,000 kusaidia matibabu ya Ruge Mutahaba mkurugenzi wa CMG

    Natamani nikujibu vibaya ila naomba ninyamaze na nikuombee tu, Mungu akujalie hekima na busara na maisha marefu ni hayo tu. Maumivu niliyopata kwa hii post yako dah ht m ni ushabiki umepitiza ila jua ht wazazi wako, ndugu zako ni watanzania pia.
  8. L

    Huyu mtu anayejiita James Delicious hastahili kuwepo uraiani. Jeshi la Polisi mkamateni

    Kabisa na anafollowers wengi sana zaidi ya 9M yan ndo utaelewa akili za wabongo wanashindwa follow vitu vya maana wanamfollow huyu, wnyw ndo wanampa kiburi
  9. L

    PSSSF na maisha ya wastaafu, kwanini ucheleweshwaji wa malipo?

    Yan hi nchi hi ya wamebana kila Kona kwny Sheria mpya ya mafao. Mfano fao la uzazi kwa watu walikuwa chini ya mifuko iliyounganishwa ilikuwa miezi 24 ya uchangiaji tu na sasa ni miezi 36, sijui wanataka kutukomoa au kutuua kwa presha. Nina rafiki yangu anatia hadi huruma nikamshauri wewe sasa...
  10. L

    MARA: Mbunge wa Serengeti(CHADEMA), Mwl Marwa Ryoba Chacha ajivua uanachama na kujiunga CCM

    Wanajitahd kuirudisha kwa kutunyima mafao yetu kutoka ktk mifuko ya jamii daaah hi awamu hii
  11. L

    MARA: Mbunge wa Serengeti(CHADEMA), Mwl Marwa Ryoba Chacha ajivua uanachama na kujiunga CCM

    Hapo kwny vita dhidi ya ufisadi na rushwa na Bashite yupo au??
  12. L

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    Yan kuna muda ukiitafakari hii nchi inapoelekea machozi yanaweza kukutoka. Sasa machozi haya sidhani km yatafanyika baraka ktk awamu hii
  13. L

    SSRA, PSSSF sasa ruksa kutuibia

    Hii awamu hi daah eti wanajidai wanajali wanyonge
  14. L

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    Yan kwakweli Mungu atusaidie sana. Hii nchi imefika mahala inaumiza sana mioyo ukiifikiria, mtu unafanya kazi kwa tabu halafu unastaafu tena unateseka na visent vyako halafu tunajisifu kuwa tunajali wanyonge kweli? Hebu Raisi wa wanyonge aliangalie hili kwa jicho la pembeni, Yan kuna rafiki...
Back
Top Bottom