Salaam,
Natafuta gari aina ya Town Ace au Lite Ace box body (body iliyojengewa) ya kukodi. Nataka kukodisha moja kwa moja toka kwa mmiliki sio dereva.
0623014440 Niko Dar es Salaam
Baadhi ya wafanyakazi wa shabiby Wana dharau mnoo..
Nilisafiri na shabiby Dar -Dom siku za hivi karibuni nikiwa na mtoto wangu wa miaka 3 nikakata seat 2 Mimi yangu na yeye ya kwake. Moja ya zile seat kwa mbele kulikua kuchafu Kama matapishi yaliyokauka kuanzia juu mpaka pale kwenye sehemu ya...
Uaminifu ni jambo kubwa sana kwenye moyo wa mwanadamu na bahati mbaya limekuwa adimu sana pia miongoni mwetu wanadamu, ushauri wangu mkuu huyo Jamaa ni mtu mzuri komaa kufanya nae kazi. Mtu unaeweza kumpa mzigo hata wa laki akaenda auze alete mtaji na faida bila ngonjera, mshukuru Mungu ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.