kwanza mpaka kutunga sheria nyingine ya vyombo vya habari wameona nini kimepungua? maana matatizo ya vyombo hivi yanatokana na sheria zilizowekwa! sitegemei jipya kwenye sheria zinazotungwa kwa sasa! nyingi ni kandamizi na kufunga watu midomo!
Wazeze wa Chama wanaona mbali sana hatakama baadhi ya vijana walitamani kofia hizi mbili zitofautishwe!
CCM inafaidika sana kwa Rais kuwa mwenyekiti wa chama hicho katika vipengere vingi.
Mfano;
1. Rais akiwa mwenyekiti wa chama ni rahisi sana kutumia mikutano ya kiserikali kupigia debe chama...
We huelewi haya mambo, ni vyema ukijinyamazia ukasoma koment za watu tu! Hivi watu mkiona bank mnafikiri kule ndo hela zimerundikwa tu bira hesabu. Mi nafanya kazi bank hali ya uchumi siyo nzuri, kuendesha bank si kitu rahisi. serikal kusema bank hazilipi si kweli! mitandao ya kijamii skuzote...
Paragraf ya pili! Hali ya Spika ni njema kabisa! mwishoni tumwombee izidi kuimalika!
kama hali yake ni njema alienda kufanya nini huko?
Mi nadhani ingekuwa rahisi kuombewa kama angekuwa mgonjwa na huku akiwa anaendelea na matibabu ili apone halaka!
Lakini vinginevyo akiendelea kukaa huko...
hii nchi wanyonge wanaonewa sana! Juzi nilibishana na barozi wangu wa mtaa amefika kwangu akinitaka nianze kuwa mlinzi, eti ulinzi shirikishi! mita kama 200 kutoka kwetu kunakituo cha polisi. Nikamwuliza kama polisi wameshindwa kazi! au maadui wameongezeka! Tunawalipa polisi ili wahakikishe...
Watu wanastahili kulipwa fidia kwa ajili ya sim fek zitakazo fungwa, hii ni kwasababu serikali ndiyo iliyo na dhamana ya kudhibiti bidhaa zinazoingizwa sokoni. kitendo cha kuziruhusu sm hizo ziingizwe sokoni, ziuzwe, harafu uje umzuie kutumia yeye aliyenunua ni uonevu! kwanini usizuie kuingiza...
Katibu wa CHADEMA yuko sahihi! Kama jamii tunachukia vikongwe na watu wengine kuuawa kwa tuhuma za uchawi ambazo hazina hata ushahidi kisheria tunafurahiaje Raisi kutoa hukumu bira kusoma kifungu cha sheria kinachomlinda kwa hukumu yake?
Angewasimamisha watumishi kupisha uchunguzi hapo ingekuwa...
Ningekuwa waziri husika ningetangaza TV zote zizimwe kabisa mida ya kazi, siyo kuzuia kipindi cha bunge tu wakati tamthilia nyingine zinaendelea kuoneshwa!!! maana bora nini watu waache kufanyakazi kwa kuangalia vipindi vingine vya ajabu ajabu kama Chereko au waangalie Bunge? ni heli TV ziwe...
Kwa mtazamo wako Raisi ameanza kujenga uchumi upya!!!! unamaanisha kuwa yeye ndiye raisi wa kwanza ama ndo tumepata uhuru???? yaani hakuna mwendelezo!!!! Ninaposema maisha magumu ni baada ya kulinganisha maisha yaliyokuwepo kabla na yaliyopo sasa bila kuhusisha dhana ya ubadhilifu uliofanywa...
Huo ni mtazamo wako. unataka kuniaminisha kuwa kama pesa itakayokuwa ikizunguka itakuwa halali, maisha yatakuwa magumu hivi au yangekuwa magumu sana kuliko yalivyokuwa kabla ya Mh Raisi kuanza operation hiyo!!!
Mimi ninavyojua mzazi ukidhibiti wizi wa mali zako inamaanisha watoto wako wataanza...
Nilichotaka kukutazamisha ni wewe ujue kuwa hatakama Raisi angekuwa mwema kwa kiwango gani bado hakiwezi kusababisha apendwe na watu wote. swala la kuongoza watu linahitaji uvumilivu sana ikiwa ni pamoja na kuvumilia dhihaka na matusi. wewe unayeongoza unapicha ndani ya akiri ambayo unataka nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.