Recent content by Labyrinth 84

  1. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Leo wanangu wa arsenal naona wanamuonyesha rogers kuwa kafanya maamuzi mabovu kwenda Chelsea haha!
  2. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Tuchel ni ndezi yaani madueke anampiga benchi saka.
  3. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Scars kesho upo upande gani mkuu maana Spain ulisema una hate watch na huku kwa Messi ndio kabisa hutaki kupasikia 😄 au Bora kombe liibiwe.
  4. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Wewe inaonekana mpira huupendi, enjoy football mkuu . Football ni kwa akili ya kuenjoy sio kukunja nditta 😀
  5. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye. Messi sio beki labda tuseme unamchukia kwa rafu zake , sio mgomvi ila mchezaji ambae amepigwa sana rafu na mabeki na still yupo humble. Kumchukia messi...
  6. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    Ay: Yule,mikono juu, Norah: ice cream Professor: ndio mzee, jina langu, hapo vipi, zali la mentali TNG : bongo dot com Kuna mwamba anaitwa Kali p _ imekaa vibaya Chelsea man _ msela Wakali kwanza_ natamani
  7. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    Nature ndio alikua king mzee, anaimba vitu vinachekesha na kama anapiga hadithi lakini nyimbo inakua tamuu. Ubinadamu kazi, ofisi ni miguu , ugali, umoja wa tanzania
  8. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    P-funk pia amepiga sana mabeat mazuri wazee kuanzia mzee wa busara , Nini mnataka mazee?? Hili la Nini mnataka nakumbuka lilikua linatumika kwenye kipindi flani star tv. Nature nae mzee wa story nyingi kumbe ndo anaimba ivyo huku vioja vingi ndani yake. Kuna wachuja nafaka 😀 halafu baadae...
  9. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Kamanda Patrobass Paschal Katambi tangu mwaka 2010!

    Harakati za watu weusi kutafuta uongozi ili washibishe matumbo yao ilihali walitakiwa wawe wakulima na si viongozi. Hizi thread za zamani huwa zinafurahisha sana ukifukua nyingine za kina kitila mkumbo walichokisimamia na wanachofanya sasa!
  10. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo na msabato ni 60% percent kuhusu siku ya sabato na 40% ni kuhusu wakatoliki. Mind you haumjamuuliza chochote kuhusu sabato au wakatoliki

    Walokole tumekukosea nini mkuu😄. Ulokole zamani ilikua inaonekana kama uchizi ila kwa sasa ni kama fashion. Kila mmoja saivi ameokoka. Naupenda ulokole wa zamani kuliko wa sasa
  11. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Chuki binafsi za messi, enjoy mpira anaopiga mzee it will take 100years kumpata messi mwingine. Wewe kunja nditta tu Bila sababu za msingi
  12. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Ila wanangu Brazil ni sisi tulienjoy 2006 kurudi nyuma, hii ya sasa hivi ni mkusanyiko wa waimba singeli

    Pedro nae si wale wale tu, nakumbuka 2010 au 2014 basi la Brazil lilipigwa mawe na wakulima wa Brazil wakati wanarudi walivyotolewa .
  13. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hawa nae hamna kitu , morroco angepewa Hawa quarter final angejipigia tu vizurii, basi tu wameamua kumpa mfupa mgumu ufaransa
  14. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Brazil hamna kazi hata ya zamani pia sikuwahi kushabikia ila ilikua Ina watu kweli kweli! Baadhi ya wachezaji wa brazil kama robinho, adriano tulikuja kuwajulia world cup na walikua wa motto haswa na wanatupa ladha ya kutosha. Saivi Brazil wapo kina endrick kumtoka hata mtu mmoja hawawezi
  15. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Morroco yupo vizuri , usimchukulie ki wepesi ivyo, last time kaishia semi final
Back
Top Bottom