Mwigulu nchemba ni mmoja kati ya viongozi washamba sana hana mvuto wowote wa kisiasa halafu liigizaji likubwa sana .
Hili kuna watu liliwapa uraia wa tanzania ili wachezee singida .
Mmoja ya zerobrain ni huyu pm
Bara la giza chochote kinawezekana kama samia ameweza kuwa rais basi hata ng’ombe anaweza kuwa rais.
Ni huyu huyu alituambia alipochaguliwa kuwa mgombea mwenza alianza kulia akisema nafasi haiwezi lakini leo ndio rais.
Urais wenyewe wakusimikwa na kikwete , ukweli ukisemwa ni kuwa tuna rais...
Africa hamna ujasusi , huo ujasusi wanafanya wapi na kwa mantiki ipi? Bara lote maskini halafu jasusi anatokea wapi sasa??
Maendeleo zero, viongozi zero na huduma zote muhimu zero.
Yaani jasusi atokee bara la giza? Kujifanya na sisi tuna vyombo vya kijasusi ni kuiga tu kwa watasha.
Africa...
Arsenal fungu la kukosa mkuu , kuelekea hii march ndo utajua kwanini tunawaita false hopers!
Team inapiga pass haielewekii ni pass za nini zinapigwa pasi nyingi ilimradi tu itokee corner. Ubingwa wa corner labda mje mcheze huku bara la giza lakini sio hapo EPL.
Anyway castr amefuata energy...
Hapo arsenal ndo anamkimbiza man city mpaka sasa na si man city . Fuatilia team yoyote ikiwa kwenye mbio za ubingwa na arsenal lazima iwe bingwa hata kama ni wigan unakumbuka ya leicester city, chelsea 2005
Ubingwa ushaamuliwa kitambo toka cunha apige lile bao na ile dance nikaona kabisa shughuli imeiishaa.
Game zilizobaki sasa ndo hutakaa umuone man city anapoteza , game ya liverpool uliona mtu katoka one behind na akashinda zikiwa zimebaki dk15 tu.
False hopers hakuna mnachokijua hata jana...
Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks 😂😂.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
Acha false hope kaka, kwani kocha mwenye arteta yeye ana kombe gani kubwa akiwa anacheza arsenal? Nuksi ipi unayoongelea wamecheza kina van persie, fabregas na wengine na hawajapata kombe lolote kubwa.
Arsenal ndo ina nuksi na makombe makubwa.
Nimeipenda hii false hope ya kugawa energy kwa mwizi ni nzuri kwa kujifariji kidogo.
Dogo shabiki wa man city mwenye miaka 20 akikusikiliza unaongea anaona huyu father vipi mbona kama kachanganyikiwa .
Tafadhali epuka kuongea mambo ya mpira mbele ya madogo haswa wa liverpool na man city...
Ilikua ni nature, arsenal bila false hopes hamuezi kuishi so lazima itokee.
Anyway tusubiri game yako na city tuone battle mtaliweza au mtalialia tena mara maturity au winning mentality.
Nakukumbusha tena 13 games to go mkiwa mnaongoza ligi kwa points 6.
Team zinazosaka ubingwa mnaziona lakini? Team dk 84 ipo nyuma inarudisha na kushinda palepale anfield , nyinyi mpo emirates hata chance za maana hamkutengeneza.
13 games to go ila wanangu false hopers mbona kama bahati hamna kabisa leo hata mimi nilikua naomba mshinde😆.
Kama ingetokea kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.