Recent content by Labyrinth 84

  1. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jamaa sijuii yuko wapi ana muda sijamuona humu.
  2. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naam kuanzia sasa hamtaitwa false hopers tena Bali champions. Nadhani nyinyi ndo mashabiki bora zaidi kuliko mashabiki wa team yoyote Ile , nyinyi ni real true fans wa arsenal. Miaka 22 mmekuwa loyal fans wa arsenal pasipo uwepo wa kombe lolote kubwa (EPL & UEFA) na mkaendelea kuamini na...
  3. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu wewe unahisi nitakuwa najisikiaje ?? Mimi nipo tena mwenye furaha tele.
  4. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    It was arsenal against the world 🌎 and they won the battle. Hakuna namna nyingine yoyote.
  5. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shabiki yupi huyo kaka😄😄
  6. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwema sheikh wangu, sijui nyinyi huko.
  7. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    False hopers Huwa mna mikwara na tambo nyingi sana . Kwamba unaomba city nae ashinde 😄😄 . Hapo Bado mjanyanyua kombe je mkilibeba kabisa mmh
  8. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Naomba ulinzi wa moderators, sitaki kuhusishwa na mada za mpira

    Ngoja nikuache nitaongea Nini tena Mimi mbele yako false hoper. Tamba uwanja wako huu false hoper.
  9. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tuliwaambia nyinyi kenge ubingwa hauchukuliwi kwa set pieces kama mbinu kuu, hio ilitakiwa iwe mbinu ya mwisho kabisa yakumalizia ligi mkakaza fuvu. Saivi watu wamegoma kipa kuzongwazongwa kufunga imekua mtihani. Kwa open play game anazopiga Fulham kesho nae itakuwa masikitiko mengine na...
  10. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nasemaje Emirates jumba la masikitiko na vilio kesho wanangu wa Fulham wanaenda kubonyeza button ya masikitiko na kilio.
  11. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania WHAT A SHAME TO Viktor Gyökeres; Arsenal tunatahitaji Mchezaji Bora kwenye lile eneo la Victor better more to use Gabriel Jesus sio hii takataka

    Wachezaji Bora kuliko wote arsenal ni David Raya, saliba na Gabriel. Wengine wote ni mmeokota wauza ubuyu mkawavalisha jezi
  12. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania WHAT A SHAME TO Viktor Gyökeres; Arsenal tunatahitaji Mchezaji Bora kwenye lile eneo la Victor better more to use Gabriel Jesus sio hii takataka

    Kumlaumu gyokeres ni ujinga tu au mpira hujui vizuri. Gyokeres ni goal poacher na si linkup striker kama Gabriel Jesus . Goal poacher wao wanategemea zaidi kutengenezewa wao ni wanamaliza tu. Arsenal yenu uwezo wa kutengeneza chances ni mdogo sana kwenye open play hasa midfielders zenu...
  13. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Emirates ndo penyewe pale mnakufa mkiwa wengi as usual, hakuna cha kupanda ndege Wala Nini mnabaki mmelalia majani pale na vibibi vile vya arsenal machozi kama yote. Chollo anaenda kumaliza kazi kama Bournemouth , soton au man UTD vile. Emirates pale ni jumba la masikitiko na vilio tu , nasema...
  14. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna shabiki wa arsenal alikua anaongea hivi hivi wakati tunaangalia game , watu wakasema tumuache kashalewa . Yaani mashindano ya mwaka jana mnahesabia mpaka sasa. (PSG & Madrid ) PSG kakupiga nje ndani achana na Ile match ya kwanza ya mazoezi na Bayern pia achana na match ya mazoezi.
  15. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ? Last year wapo quater final walivyomfunga Madrid game ya kwanza tu wakaitisha kikao. Nakumbuka castr,mkorea, Henry 14, na hamiss77 akatoka mafichoni wakaanza kuchagua team watakayocheza nayo final 😂😂. Kura zikapigwa watu...
Back
Top Bottom