Naam kuanzia sasa hamtaitwa false hopers tena Bali champions.
Nadhani nyinyi ndo mashabiki bora zaidi kuliko mashabiki wa team yoyote Ile , nyinyi ni real true fans wa arsenal.
Miaka 22 mmekuwa loyal fans wa arsenal pasipo uwepo wa kombe lolote kubwa (EPL & UEFA) na mkaendelea kuamini na...
Tuliwaambia nyinyi kenge ubingwa hauchukuliwi kwa set pieces kama mbinu kuu, hio ilitakiwa iwe mbinu ya mwisho kabisa yakumalizia ligi mkakaza fuvu.
Saivi watu wamegoma kipa kuzongwazongwa kufunga imekua mtihani.
Kwa open play game anazopiga Fulham kesho nae itakuwa masikitiko mengine na...
Kumlaumu gyokeres ni ujinga tu au mpira hujui vizuri.
Gyokeres ni goal poacher na si linkup striker kama Gabriel Jesus .
Goal poacher wao wanategemea zaidi kutengenezewa wao ni wanamaliza tu.
Arsenal yenu uwezo wa kutengeneza chances ni mdogo sana kwenye open play hasa midfielders zenu...
Emirates ndo penyewe pale mnakufa mkiwa wengi as usual, hakuna cha kupanda ndege Wala Nini mnabaki mmelalia majani pale na vibibi vile vya arsenal machozi kama yote.
Chollo anaenda kumaliza kazi kama Bournemouth , soton au man UTD vile.
Emirates pale ni jumba la masikitiko na vilio tu , nasema...
Kuna shabiki wa arsenal alikua anaongea hivi hivi wakati tunaangalia game , watu wakasema tumuache kashalewa .
Yaani mashindano ya mwaka jana mnahesabia mpaka sasa. (PSG & Madrid ) PSG kakupiga nje ndani achana na Ile match ya kwanza ya mazoezi na Bayern pia achana na match ya mazoezi.
Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ?
Last year wapo quater final walivyomfunga Madrid game ya kwanza tu wakaitisha kikao.
Nakumbuka castr,mkorea, Henry 14, na hamiss77 akatoka mafichoni wakaanza kuchagua team watakayocheza nayo final 😂😂.
Kura zikapigwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.