Kweli chuki Haina sababu. Messi kwa yote aliyofanya unaanza vipi kumchukia? Messi ametupa burudani zote zile na still kuna mtu ana chuki naye.
Messi sio beki labda tuseme unamchukia kwa rafu zake , sio mgomvi ila mchezaji ambae amepigwa sana rafu na mabeki na still yupo humble.
Kumchukia messi...
Ay: Yule,mikono juu,
Norah: ice cream
Professor: ndio mzee, jina langu, hapo vipi, zali la mentali
TNG : bongo dot com
Kuna mwamba anaitwa Kali p _ imekaa vibaya
Chelsea man _ msela
Wakali kwanza_ natamani
Nature ndio alikua king mzee, anaimba vitu vinachekesha na kama anapiga hadithi lakini nyimbo inakua tamuu.
Ubinadamu kazi, ofisi ni miguu , ugali, umoja wa tanzania
P-funk pia amepiga sana mabeat mazuri wazee kuanzia mzee wa busara , Nini mnataka mazee?? Hili la Nini mnataka nakumbuka lilikua linatumika kwenye kipindi flani star tv.
Nature nae mzee wa story nyingi kumbe ndo anaimba ivyo huku vioja vingi ndani yake.
Kuna wachuja nafaka 😀 halafu baadae...
Harakati za watu weusi kutafuta uongozi ili washibishe matumbo yao ilihali walitakiwa wawe wakulima na si viongozi.
Hizi thread za zamani huwa zinafurahisha sana ukifukua nyingine za kina kitila mkumbo walichokisimamia na wanachofanya sasa!
Walokole tumekukosea nini mkuu😄.
Ulokole zamani ilikua inaonekana kama uchizi ila kwa sasa ni kama fashion. Kila mmoja saivi ameokoka.
Naupenda ulokole wa zamani kuliko wa sasa
Brazil hamna kazi hata ya zamani pia sikuwahi kushabikia ila ilikua Ina watu kweli kweli!
Baadhi ya wachezaji wa brazil kama robinho, adriano tulikuja kuwajulia world cup na walikua wa motto haswa na wanatupa ladha ya kutosha.
Saivi Brazil wapo kina endrick kumtoka hata mtu mmoja hawawezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.