Wewe ngoja nikuache maana inaonekana wewe ni nyumbu kabisa tena nyumbu kichaa!
Watu wametoka wengi still unaona hawakutoka wengi!
Hizo nchi ulizozitaja idadi ya waliokufa haizidi 500 na ukiangalia maandamano yao yamechukua almost mwezi na masiku
Huku kwetu ulitaka wafe wangapi kama within 2...
Huko Egypt na Sudan kulikua na military intervention ( military support) baada ya wananchi kujitokeza .
Consistency gani unaitaka hapa ya wananchi?? Almost watu 2000 wamekufa halafu unajificha kwenye kichaka Cha consistency! Sudan hata watu 900 hawakufika lakini military iliingilia kati huko...
Swali lako linalenga Nini??
Sudan baada ya protest tuliona support kutoka jeshini na al Bashir akatolewa.
Huku kwetu protest ilikuepo then kulikua na support yoyote kutoka military au sehemu yoyote?
Wananchi hawawezi kuseize power on their own Bila ya support kutoka kwa vyombo vya ulinzi na...
Wameuliwa watu zaidi ya 2000 still unasema mindset ya watu wa Malawi ! Hawa wananchi wa Malawi hawana bunduki wala mabomu silaha pekee waliyonayo ni support kutoka kwa watu waliopo kwenye madaraka ambao wanaojinasibisha kwamba wanachukia kinachoendelea na wananchi walikua wataipata support...
October 29 watu hawakuandamana? Idadi ya watu waliotoka kupinga ilikua kubwa .
Nepal na sehemu nyingine baada ya wananchi kutoka tuliona vyombo vya ulinzi na usalama vilitoa sapoti .
Nembu nionyeshe sapoti haa ndogo tu iliyotolewa na Hawa wa kwetu waliopo kwenye mfumo.
Captain tesha alitoka...
Pamoja na yote yake Iran kaonyesha umwamba sana!! Mpaka marekani kapoa anataka maridhiano.
Ni vile tu ushabiki ila Iran kakomaa sana apewe heshima yake anashambuliwa na Israel pamoja na marekani still yupo vizuri.
Nawaza endapo project zake za nuclear toka 1970 huko zingefanikiwa sijui...
Wananchi baadhi yao walitoka October 29, wakaonyesha Nia na moyo wakupinga yanayoendelea nchini, kilichotokea wote tunakijua ! Wakakutana na mitutu ya bunduki, wananchi wasiokua na uwezo hata wakumiliki mapanga wakauliwa kinyama kama kuku , Hawa wote Imani yao kubwa ilikua wakitoka kwa wingi...
Wewe ni zaidi ya kenge tena kenge maji.
Unategemea mama ntilie au Mimi muuza supu kumtoa jk? Ndo maana kuna division of labor , hao wakina brittanica wapo position ambayo wao na handlers na watu wengine ndio wanapaswa kuchukua hatua.
Mfano mdogo ni October 29 , wamepotea watu wangapi ? Watu...
Hamna Cha alert mkuu hii technically ni kama tu Ile " unanijua Mimi nani ? Kama ingekuwa code to alert someone haikutakiwa kuwa hapa ilitakiwa kumfikia mlengwa ila inanifikia mpaka Mimi muuza soksi wa hapa karume
Hii taarifa mnatueleza sisi wachoma mahindi na wauza supu ya pweza ili tufanye Nini?? Kwetu ni kama umbea tu!
Mpo kwenye positions za kuchukua hatua badala ya kuchukua hatua mnageuka wasambaza umbea.
Jk ameharibu nchi ndio sasa sisi walala hoi ndo tutamtoa asiendelee kuharibu nchi !
Mpaka...
Utumishi wa umma upi? Unaichukulia Israel kama hili bara la giza.
Hilo ni jambo la kawaida huko kwenye elite world, written mission waliopanga imefeli so wamehamishwa vitengo na si kufukuzwa kazi sio bara la giza Hilo mkuu .
Unadhani ni kina brittanica hao umbea wanauona kama intelligence!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.