Probability haifanyi kazi kaka , hii betting kuna nguvu ya ziada sio Bure.
Team unaweka 1 na Bado inachana 😂😂 .
Week hizi 3 vipigo nilivyopokea ni hatari . Week ya kwanza nikatia kilo akachana man UTD zote zimeenda , nikataka kufukuzia hasara tia tena kilo akachana PSG zote nyingine zimetembea...
Hii ni worldwide mzee sio Russia sio Australia sio china sio huku bara la giza wote tunatandika mikeka, lazima kuwe na nguvu inayo control matokeo hata wachezaji wenyewe hawaijui hio nguvu ndio Yale ya mbappe yupo na goli anapaisha au unaona Kipa anafuata mpira hata pasipofikika 😂
Anyway tupeni...
Dunia ipo hivi kwasababu ya hao unawaita wauaji yaani wao ndio wamei shape Dunia mpaka unaiona ilivyo hivi.
Kwa lugha nyingine all great men are killers, hakuna asiyekuwa muuaji tukianzia toka enzi za mababu huko na hadithi zao inategemeana na anayeandika historia ameegemea upande upi .
All...
😂😂😂 Uhalisia ndo huo lakini usiache kuweka majamvi
Betting ipo under Asmodeus mwenyewe.
Hiki kitu kipo worldwide lazima kutakua na power Ina control matokeo yote maana mtu aliyepo katavi ,kigoma ,shinyanga mpaka kule rukwa wote wanaweka mikeka na sio hao tu mpaka huku Iran, Madagascar, Kenya ...
Hawa ni vijana hawatakiwi kufika huko as long as inahusisha mpira na si mambo ya kitaaluma .
Mambo yaishe juu juu tu kwa busara za watu wazima au wazee.
Kupeleka Hawa vijana jela tena ni ujinga wakati kuna mafisadi wanakunja nne tu kwa kutafuna rasimali za tanzania
Kujitafuta tu mkuu, si unajua bara la giza hili fursa kwa vijana chache sana.
Wayamalize tu na huyo duchu, haya mambo yasifike mbali hawa ni vijana na muda mwingine maamuzi yanayochukuliwa na vijana Huwa ni short-sighted decision, hata huyu aliyeyaleta hapa unaona ni maamuzi yale yale mafupi...
Ndio ma spy wa bara la giza mkuu.
Wanachekesha sana Hawa spies wa bara la giza yaani umbea kwao ndo wanauona espionage.
Ukisoma vitabu kama billion dollar spy , mossad na kina Kim Philby unaona kabisa Hawa kuwaita spies ni kulikosea heshima neno spy.
Hawa ni askari kanzu mamaee zao
Huyo mungu amekuonyesha saa ngapi? Baada ya barua ya nchimbi au kabla? Yaani mungu aache kufanya ya maana aanze kukuonyesha kifo Cha samia😂, hili bara la giza linamsingizia sana mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.