Recent content by Labyrinth 84

  1. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu si toka May Hilo jina lilikufa. Now nyinyi ni Champions tunapata wapi nguvu ya kuwaita false hopers. Yule David raya msimu uliopita alibidi apewe mchezaji Bora wa msimu kwa kweliii.
  2. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Ukiangalia mkeka wa jamaa ni basketball na option ni both teams to score 25 points first half Hili si suala la match fixing kabisa hio labda walikosea odds wenyewe kwa kuweka odds kubwa. Vipi na waliobet under 25 first half kwao result zilisomeka vipi? Si walipoteza hela. Hela bet, Piga bet...
  3. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Hio vigezo Bado vinaonyesha jamaa hana makosa , walitakiwa wathibitishe kwamba match Iko fixed, solid ground evidence. Match imechezwa italia Palermo Mimi nipo mtwara ndanda nibeti correct score 2:2 na imetoa . Nahusika vipi na kufix match as long as results zingesoma void , ngoma imesoma winner...
  4. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Match fixing ili itambuliwe lazima kuwe na uchunguzi toka mamlaka husika, wala sio indicator unazosema wewe. Match inaweza ikaondolewa na ukarudishiwa pesa kama kampuni itakuwa imefanya makosa kwenye odds. Fuatilia mkasa wa pacueta hawakukurupuka tu pia watu kubetia option mmoja wengi...
  5. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Hio Sheria ya wapi? Mtu yupo katavi anajua vipi matokeo ya rangers ya Scotland?
  6. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Hizo fixed match unajua vipi? Na kwanini waweke fixed match watu wabeti kama wao wanazijua? Je kama ni janja yao kwamba Kila tukiliwa hela kubwa tuseme match ilikua fixed. Uthibitisho wa match kuwa fixed ni ngumu na haupo, pili huyu aliyebet hausikii na kufix watch yeye amebashiri matokeo...
  7. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Ni wachache ndio, zamani kabisa haikuepo hii kitu ndani ya katoliki na ilikua inaonekana kama uchizi lakini kwa sasa tayari ishaingia ndani ya katoliki . Muda si mrefu itaenea zaidi lakini sijawahi kuona protestant akihama kwenda Catholic.
  8. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Si kweli , katoliki naona hawahami ukatoliki lakini kuna mambo saivi wanafanya mpaka unashangaa Hawa ni wakatoliki . Naongelea hasa hapa Tanzania. Wakatoliki saivi wananena kwa lugha na kuhubiri kama protestant na wanaamini ujazo wa roho mtakatifu. Nilishangaa nikaona maajabu niliuliza...
  9. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwamba Kona ya kwanza ipigwe na mguu wa kulia sio?
  10. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Vipigo ni vingi mkuu, Asmodeus kashika Kila kona . Anyway tupeni codes 😄
  11. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Probability haifanyi kazi kaka , hii betting kuna nguvu ya ziada sio Bure. Team unaweka 1 na Bado inachana 😂😂 . Week hizi 3 vipigo nilivyopokea ni hatari . Week ya kwanza nikatia kilo akachana man UTD zote zimeenda , nikataka kufukuzia hasara tia tena kilo akachana PSG zote nyingine zimetembea...
  12. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ni worldwide mzee sio Russia sio Australia sio china sio huku bara la giza wote tunatandika mikeka, lazima kuwe na nguvu inayo control matokeo hata wachezaji wenyewe hawaijui hio nguvu ndio Yale ya mbappe yupo na goli anapaisha au unaona Kipa anafuata mpira hata pasipofikika 😂 Anyway tupeni...
  13. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Dunia ipo hivi kwasababu ya hao unawaita wauaji yaani wao ndio wamei shape Dunia mpaka unaiona ilivyo hivi. Kwa lugha nyingine all great men are killers, hakuna asiyekuwa muuaji tukianzia toka enzi za mababu huko na hadithi zao inategemeana na anayeandika historia ameegemea upande upi . All...
  14. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😂😂😂 Uhalisia ndo huo lakini usiache kuweka majamvi Betting ipo under Asmodeus mwenyewe. Hiki kitu kipo worldwide lazima kutakua na power Ina control matokeo yote maana mtu aliyepo katavi ,kigoma ,shinyanga mpaka kule rukwa wote wanaweka mikeka na sio hao tu mpaka huku Iran, Madagascar, Kenya ...
  15. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Eboue kacheza Chelsea ipi tena mkuu?
Back
Top Bottom