Recent content by Labyrinth 84

  1. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwamba Kona ya kwanza ipigwe na mguu wa kulia sio?
  2. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Vipigo ni vingi mkuu, Asmodeus kashika Kila kona . Anyway tupeni codes 😄
  3. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Probability haifanyi kazi kaka , hii betting kuna nguvu ya ziada sio Bure. Team unaweka 1 na Bado inachana 😂😂 . Week hizi 3 vipigo nilivyopokea ni hatari . Week ya kwanza nikatia kilo akachana man UTD zote zimeenda , nikataka kufukuzia hasara tia tena kilo akachana PSG zote nyingine zimetembea...
  4. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ni worldwide mzee sio Russia sio Australia sio china sio huku bara la giza wote tunatandika mikeka, lazima kuwe na nguvu inayo control matokeo hata wachezaji wenyewe hawaijui hio nguvu ndio Yale ya mbappe yupo na goli anapaisha au unaona Kipa anafuata mpira hata pasipofikika 😂 Anyway tupeni...
  5. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Kuna watu kuzaliwa hapa duniani ilikuwa ni hasara kwa MUNGU na kwa binadamu. Watu kama Putin, Hiltler, Amin, Ayatollah nk hawakupaswa kuzaliwa

    Dunia ipo hivi kwasababu ya hao unawaita wauaji yaani wao ndio wamei shape Dunia mpaka unaiona ilivyo hivi. Kwa lugha nyingine all great men are killers, hakuna asiyekuwa muuaji tukianzia toka enzi za mababu huko na hadithi zao inategemeana na anayeandika historia ameegemea upande upi . All...
  6. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    😂😂😂 Uhalisia ndo huo lakini usiache kuweka majamvi Betting ipo under Asmodeus mwenyewe. Hiki kitu kipo worldwide lazima kutakua na power Ina control matokeo yote maana mtu aliyepo katavi ,kigoma ,shinyanga mpaka kule rukwa wote wanaweka mikeka na sio hao tu mpaka huku Iran, Madagascar, Kenya ...
  7. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Eboue kacheza Chelsea ipi tena mkuu?
  8. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Hawa ni vijana hawatakiwi kufika huko as long as inahusisha mpira na si mambo ya kitaaluma . Mambo yaishe juu juu tu kwa busara za watu wazima au wazee. Kupeleka Hawa vijana jela tena ni ujinga wakati kuna mafisadi wanakunja nne tu kwa kutafuna rasimali za tanzania
  9. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Kujitafuta tu mkuu, si unajua bara la giza hili fursa kwa vijana chache sana. Wayamalize tu na huyo duchu, haya mambo yasifike mbali hawa ni vijana na muda mwingine maamuzi yanayochukuliwa na vijana Huwa ni short-sighted decision, hata huyu aliyeyaleta hapa unaona ni maamuzi yale yale mafupi...
  10. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hana thamani ya hela wanayotaka PSG. Barcola huyu chance 7 anapata 1 mbio nyingi kama bolt sizani kama ataiweza EPL
  11. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Tukubali kuwaachia nchi watawale wapendavyo?

    Wewe una macho na hauoni!, JK ndio Rais mwenyewe
  12. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Kwanini taarifa za kifo cha Mpishi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais zimefichwa?

    Ndio ma spy wa bara la giza mkuu. Wanachekesha sana Hawa spies wa bara la giza yaani umbea kwao ndo wanauona espionage. Ukisoma vitabu kama billion dollar spy , mossad na kina Kim Philby unaona kabisa Hawa kuwaita spies ni kulikosea heshima neno spy. Hawa ni askari kanzu mamaee zao
  13. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Hakuna mwanamke wa level yoyote Ile , mwanamke ni mwanamke tu . Kumwekea mwanamke level ni utapeli tu kama mwingine.
  14. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!.

    Huyo mungu amekuonyesha saa ngapi? Baada ya barua ya nchimbi au kabla? Yaani mungu aache kufanya ya maana aanze kukuonyesha kifo Cha samia😂, hili bara la giza linamsingizia sana mungu.
  15. Labyrinth 84

    JamiiForums Tanzania Daah kwa hakika Mungu ana namna yake ya kufanya kazi!!.

    Hii inabidi isambazwe kote , huyo pichani Bila shaka ni tlaatlaah au Lucas😂
Back
Top Bottom