Angalia mzee usije kuingizwa mkenge.
Kuna watu wanafanya utapeli kw akupitia mgongo wa Zanzibar. Washalizwa wengi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kule unapata kwa bei nafuu. Lakini unaweza kutana na kodi wakati wa kusafirisha. Ambapo ukipiga hesabu ya jumla unaweza kuta tofauti ya bei ni ndogo sana.
N.B: The statement holds only if you consider bulky purchases
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kuna wakati tunatakiwa tuwe serious na maisha ya watu.
Kwa mshahara huo ukilinganisha na kazi yenyewe, hapana. Ulezi sio kazi rahisi hata kidogo.
Otherwise hiyo 150k itolewe maelezo ya kutosha.
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.