Hapa Sisi wa Afrika ndo tunafeli , Hao polisi hapo kituoni walikuwa wawe na taarifa huyo mtu yuko kizuizini wapi . Mimi hua najiuliza kama hii nchi ingekua na katiba nzuri na taasisi zilizo huru kweli haya yangelitokea ?
Mimi kila nikiwatizama watanzania ,naona simuoni gaidi, mhaini ,m asi,nk...
Watanzania asilimia 95 hawajui nini samani ya nchi yao , hii inatokana na miaka zaidi ya 50 ya ccm . Tanzania ina rasilimali kuliko nchi zote za Ulaya makharibi kwa ujumla.
Tusiwalaumu wawekezaji, wakulaumiwa ni ccm . Je munazijua bei za kuwinda simba ,tembo ,twiga nk. Hao wa arabu wanataka...
Nchi kama ina Lana . Tuna kolera , denge , Malaria ,ebola ,umasikini ,ujinga ,ccm na sasa hawa marekani na tahazari yao . Hivi vyote vinaturudisha nyuma ki maendeleo . Hii kauli ya marekani itasababisha watalii kutokuja tanzania.
Sisi badala ya kujiuliza tunakosea wapi,tunaanza kushuhulika na IMF . Sasa hio serekali inaposema uchumi unakua ndo mnaamini ? Hebu tizameni mitaani pesa imepotea ,biashara imekufa ,ajira hakuna sasa huo uchumi utakuwa ki vipi ? Na hizo Kodi zinazo kusanywa kutoka makampuni gani ? Hizo ndege na...
Muungano Kati ya znz na tanganyika ni sawa na ule muungano wa Sowyetunion ambapo urusi ndo alikua bwana na alizivamia nchi washirika kijeshi Pale walipo kataa kutekeleza amri . Hapa kwetu tanganyika ndo mabwana na tumesha shuhudia akiivamia ZNZ kijeshi na kuuwa watu kule pemba . kama ni Muungano...
Kwanza nyerere alikua sio mungu ifike mahali Uwe na akili za kujitegemea. Raiya wa znz hawautaki huo muungano hata kuuona , au ndo walazimishe kwasababu nyerere alitaka ie hivyo . Muungano wa ulaya unajumuisha nchi 27 na kila 1 ina jina lake jeshi lake na mamlaka yake ya kila kitu .
Suala la kwanza
1 je ndugai ni msemaji wa raisi ?
2 bunge ni la wananchi je wamesha ulizwa kama kuitwa bunge dhaifu inwakera ?
3.je spika keshawauliza wanachi Baina ya neno dhaifu wizi wa pesa za Uma na kumfananisha mtu na mbwa ni kitu gani kinawakera zaidi ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.