Recent content by La Cosa Mia

  1. La Cosa Mia

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Sasa hapa jamiiforums Nawapa tano ! Twende kazi hamna ushabiki hapa
  2. La Cosa Mia

    JJ Mwaka na Isaac Ndodi, ni nani tiba yake inaaminika zaidi?!

    unafanya majaribio ya afya yako kwani umekuwa panya wa maabara ? Achana nao hao watu hawana elimu ya tiba zaidi ya ujanja ujanja na maneno mengi....nenda hospitali huko kwengine unanunua matatizo kwa bei ghali
  3. La Cosa Mia

    JJ Mwaka na Isaac Ndodi, ni nani tiba yake inaaminika zaidi?!

    Kati ya waliotajwa na mdau hapo juu, nani ni doctor wa medicine ?
  4. La Cosa Mia

    Cliniki za Dawa mbadala zichunguzwe, tunaibiwa

    Hahahahaha...sema wewe labda watasikia...nishasema siku nyingi huwezi kushindana na sayansi...hii alternative medicine ni majanga sana
  5. La Cosa Mia

    Naomba kujuzwa ukweli kuhusu kunywa maji baada ya tendo

    Bwahahahaha ! Mwaka huu kila rangi tutaona.:A S wink:
  6. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Hahahahahaha kaka acha tu.....kuna mjinga mwingine eti na yeye kaanzisha thread anasema chanjo wanazopatiwa watoto ni mpango wa wazungu kutuangamiza....jinga kama hilo linatembea na kutype kwa sababu tu mama yake alimpiga chanjo ya polio...nilipoiona hiyo thread kidogo nianguke kwa stress aisee....
  7. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Sio kweli unalolizungumza...huwezi tu kuibuka na kusema nina tiba ya ugonjwa fulani na tukubali tu, kuna taratibu za kufuata maana hata placebo hutibu wakati fulani na hizo taratibu zinafuatwa na kila mtu hadi sisi. Taratibu hizo zina faida nyingi sana...ndio zimetengeneza dawa zote hizi...
  8. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Hahahahahaha haya mkubwa....ila kwenye ile thread ya ukimwi nilikuwa pamoja na wewe asilimia zaidi ya 90 na nadhani nilikupa like kipindi kile....sibishi alimradi kubisha tu. HIV ina tatizo kuanzia mwanzo hata hakuna reliable diagnostic test...so hilo tuliache Nimekuomba mfano maana nataka...
  9. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Kwa kutusaidia ungeweka mfano wa mgonjwa uliyemtibu na kwa ushaidi wa kutosha na sie tujifunze....labda tuanzie hapo...
  10. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Medicine inakubali kabisa kuwa hatufahamu kila kitu...ila naamini kabisa hakuna explanation nzuri zaidi kuhusu mwili wa mwanadamu na tiba zaidi ya ile inayotolewa na mainstream medicine...tunapenda sana na kukubali challenge ndio maana kila siku watu wanabishana kwa experiments na research...
  11. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Kaka hapo juu nimejaribu kujieleza tena kwa kiswahili labda usome tena!
  12. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Hawezi kurudi maana ni kuchoshana pasipo na msingi...ni sawa sawa na ubishi na watu wanaoamini dini....ni ubishi usioisha...
  13. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Kumbe ulishampa vidonge vyake.... Yote anayoeleza nimeyasoma miaka mingi iliyopita na n upotevu tu wa muda..
  14. La Cosa Mia

    Hidden cancer cures

    Kutokana na kutingwa na mihangaiko nimechelewa kumjibu bwana deception ila sasa nitajaribu kadri nitakavyoweza natumai watu wengi watajifunza… Kwanza kabisa nitaeleza kwa ufupi kuhusu kansa maana hapo ndio tumetofautiana na bwana deception, na itakuwa kwa faida ya wengi maana pamoja na yeye...
Back
Top Bottom