Nahitaji kununua nazi ila sijajua soko gani hapa Dar nitapata kwa bei nzuri. Msaada kwa anaejua.
=======
Pitia link hii.
Biashara ya nazi from Mafia to Dar - JamiiForums
Hello Dada, pole kwa usumbufu, huku kwenye thread ukitoa order Ni ngumu kuiona, mara chache mtu anaingia. Tumetoa na namba ya simu na whatssap maalumu kwa kupokea order za wateja. Samahani kwa usumbufu na kukosa maharage yetu na chapati.
No mategemeo yetu utatoa order kwetu tena.
Kipindi hiki cha corona na quarantine, budgeting Ni muhimu kwasababu hatujui hii hali itaisha lini, ni muhimu kutumia kwa umakini hasa kwa kutumia kwa maharage yaliyochemshwa teyari inakupunguzia matumizi ya nishati, na kwa kuletewa mpaka mlangoni unakuwa salama zaidi kwa kupunguza safari zisizo...
Faida inategemea maharage unayapata wapi na kwa bei gani. Yellow beans tunalima, na soya ndio tunanunua.
Agiza maharage yaliyochemshwa teyari kutoka kwetu, usijali sana faida gani tuipatayo sisi, ila nakuhakikishia faida uipatyo wewe ni kubwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Would you know specifications of such a laptop napata for how much?
HP celeron 1.6ghz,4gbram,500harddisk, 15.6 screen, webcam, wifi, bluetooth
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Sasa tupo Dar, tarehe 17 May tunaanza Moshi na Arusha. Mikoa mingine tutaenda kutegemeana na hali ya corona itakavyokuwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujakosea mdau, yetu ni ubora, usafi, packaging na bila kusahau ujazo. Na tunakuletea mpaka ulipo. Karibu ujaribu yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.