Ndg. sii kweli kuwa tunatumia kuni kwa kupikia vyakula vyetu vigumu, pointi ni umaskini. Huko ulaya, na sehemu zingine duniani wanavyo vyakula vigumu na wanavipika kwa hiyo hiyo gas, pia na kwa kutumia umeme. Kwao gas na umeme sii aghali kama hapa kwetu. Ni aghali kwa sababu ya ubambikiaji wa...