Recent content by Kyodowe

  1. Kyodowe

    PreGE2025 Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Njombe Yajiridhia Kubadili Jina la Jimbo la Njombe Mjini kuwa Njombe Kusini

    Majimbo yagawanywe, halmashauri zigawanywe, wilaya zigawangwe, Mikoa igawanywe. Kila kitu kugawa tu hadi mwishowe tutaligawa hata jina lenyewe Tanzania
  2. Kyodowe

    PreGE2025 Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Njombe Yajiridhia Kubadili Jina la Jimbo la Njombe Mjini kuwa Njombe Kusini

    Kuna faida gani iliyo wazi kiuchumi kwa wengi ukiondoa maslahi ya wachache!
  3. Kyodowe

    Unarudi kitaa ulipokulia unakuta washkaji wote hawapo. Zimebaki kumbukumbu tu za Kijiwe chenu. It's a very painful moment.

    Huko mbali sana, hii dunia itakuwa kitu kingine kabisa. Maximum life expectancy ya dunia kutoka sasa ni 4000 years
  4. Kyodowe

    Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

    Upuuzi tu! Watanzania tunapenda sana kazi za kula na kuishi kijanja janja. Hivi Mkuu wa Wilaya anaweza kusimamia Wilaya ila Mbunge hawezi kuwakilisha Wilaya! Upuuzi, upuuuzi
  5. Kyodowe

    Kumbe Waziri wa Ulinzi wa Kenya ni Mwanamke kama ilivyo huku Tanzania

    Hivi kuna haja ya Waziri kuvaa hizo nguo?
  6. Kyodowe

    Hatari ya Kundi Kubwa la Vijana wanaolala Barabarani Sam Nujoma/Sinza Waangaliwe

    Tayari lipo. Na tusipojipanga vyema tutakuja kuwa kama India. Mtindo wa kuwa na matajiri wachache na maskini wa kupindukia wanaoishi kwa kuomba omba na kulala barabarani
  7. Kyodowe

    secretarieti ya ajira kuna tangazo linadai vijana wa uvccm ambao ni walimu wawasilishe taarifa zao kuna nini kinaendelea??

    Thibitisha vinginevyo kuwa alicholeta siyo sahihi. Usikosoe tu kwa kuwa unaweza kuandika ilihali wewe mwenyewe hutumii ubongo wako na muda wako vizuri
Back
Top Bottom