Recent content by kyliekim

  1. kyliekim

    Table Lamp

    Table Lamp inauzwa nzuri sana [emoji95] Bei 60000 Imetumika mwezi tuu like new Location Ilala Contact #0719781424
  2. kyliekim

    Baraza la Maaskofu KKKT lamtenga Askofu Malasusa

    Kwa kashfa zake nilivyozisoma atolewe tuu tena ikiwezekana na avuliwe tuu uaskofu
  3. kyliekim

    Car4Sale Toyota passo inauzwa

    Million na hiyo laki 8 lete weka no tuifate
  4. kyliekim

    Msaada-dawa ya kuondoa mikosi mabalaa

    Mungu pekee ndiyo msaada
  5. kyliekim

    Dhambi za CHADEMA na Viongozi wake Zitaendelea kuwatafuna.

    Na bado damu ya mtu haiendi bure itawaandama mpaka mbona mnaangaika sana tulieni muone mungu anavyo waumbua mbeba maono hafi mpaka yatimie
  6. kyliekim

    Tetesi: Prof. Lipumba kuwaandikia barua ya onyo wabunge wa CUF waliotoka nje Bungeni

    Kusudi lao nikuiuwa cuf zanzibar lakini wanasahau kuiuwa kwao cuf ni kuinufaisha ukawa maana uchaguz ujao sidhani kama wabunge waliogombea kupitia cuf watarudi kugombea kupitia cuf tena maana nadhan wanataman muula uishe wahame atakosa wabunge na kuinufaisha chadema hawafikiri
  7. kyliekim

    Leo ni siku ya kuzaliwa kwa alliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa

    Happy Birthday Edward Lowasa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. kyliekim

    TANZIA: Mwana JF, Kennedy Lufulondama afariki dunia

    R IP Sent using Jamii Forums mobile app
  9. kyliekim

    Wanawake, watoto na vikongwe Kimara walala nje baada ya kubomolewa nyumba

    Hata kama ni kupisha mradi wangewalipa fidia waondoke wanawatesa bila hatia watoto hao wanaumia baridi kweli mungu walinde hatoto hao jaman Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kyliekim

    Hii video imenitoa machozi huu utawala haufai kabisa

    Najiulizaga kwa sauti hivi hawa watu hawana hofu ya mungu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kyliekim

    Wapenzi wa gospel songs tukutane hapa

    Huu wimbo naupenda sana
  12. kyliekim

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Hahha ninecheka kwa sauti [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. kyliekim

    Simu Simu Simu!!!

    Mkuu nina note 1sumsung 180000 nakuachia ni nzima kabisa
Back
Top Bottom