Mzigo haupotei unaenda ofisini kwao wanauchukua wanakupatia na sio mizigo yote inaweza kaa kwenye vile vibox, ni mizigo midogo midogo kama bahasha na box moja haliwezi milikiwa na mtu mmoja au taasisi moja linawekuwa na watu wengi, kinachotofautisha ni majina tu ya hiyo anwani.
Active kwa maana ya linalolipiwa na mtu au shirika fulani ambapo wanakuwa na funguo kabisa?
Kwa ufupi masanduku yote ni active kwa sababu wanaoyamiliki ni wao posta na wanafunguo zote. Mi huwa natumia 141 kwa sababu ni sanduku nililokuwa nikilitumi toka nikisoma nikalifanya kama langu japo...
Lakini mi navyofahamu sanduku la posta ni kama kituo cha mzigo wako kufikia, sio lazima umiliki sanduku.
Unachotakiwa kufanya ni kuchagua posta unayotaka kupokelea hiyo barua. Mfano kama hiyo posta ipo Ubungo basi unachagua namba ya sanduku tu kwa mfano 100 na anwani yako itasomeka kama...
Hiyo account imezuiwa, ingia twitter help center uka appeal watairudisha japo inawachukua muda kidogo kuirudisha. Afu pia twitter hawaruhusu kutumia namba ya simu kwa akaunti zaidi ya moja, ukilazimisha wanakublock. Kama unatengeneza akaunti nyingine tumia namba nyingine ambaya haijawai tumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.