mkuu holygrail nashukuru kwa mawazo yako, nadhani wewe ni mzoefu zaidi katika maswala ya magari,naona hiyo gari Is not good. Pia mkuu mimi ni kijana Nina miaka mingi bado kupata kiinua mgongo mkuu.
ok
Wakuu naomba kupewa uzoefu kwa wenye gari za Toyota Brevis ninataka kuchukua hii gari hapa je Zina matatizo yoyote. Nainunua hapa dar je kuagiza kuna unafuu?
Asante kwa mawazo
mkuu nakupa like, mimi ni mnazi Wa NOKIA na Kama NOKIA watatoa simu inayotumia technologia ya androids basi soko lake litakuwa kubwa. Nimependa ulivyotoa darasa nadhani wamekuelewa vizuri. Tusubiri mda si mrefu wata release NOKIA NOMANDRY inayotumia Android OS
Mimi ni mpenzi wa simu za Nokia na kuna tetesi kwamba Nokia wapo mbioni kutengeneza simu zinazotumia technolojia ya Androids. Is a good news for Nokia users. Mimi binafsi natumia smartphone za Nokia but though wapo in closed ecosystem simu zao ni imara sana na surface finishing is good compare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.