Mama ni Tiba nambari moja ya kuzuia Ukatili kwa Watoto na Uponyaji wa kisaikolojia kwa wasaidizi wa kazi za Ndani.
Zipo Shughuri nyingi sana zinazoweza kumsaidia mwanamke kuhakikisha chakula kipo nyumbani hata Kama baba kashindwa kusimama kwenye nafasi yake, zipo Shughuri nyingi za kumsaidia...
Ajira kwa mwanamke imekuwa chanzo cha uharibifu wa familia nyingi Barani Afrika hata sehemu fulani ya Dunia kwa ujumla.
Chanzo kikuu sio tu mwanamke bali majukumu yanayomfanya mwanamke kushindwa kusimamia au kutekeleza majukumu yake kifamilia.
Vitendo vya Ukatili kwa watoto vimeshamiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.