[emoji23][emoji23] mimi waga nasomaga tu sijawah comment kitu na saiv ndo naona story ishaanza kunilevyaaa
Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Nawasalimu wana jf popote mlipo na heshima kwenu, Naombeni msaada katika kutafta giant shipping company nimepata hao wawili lengo langu kuna mzigo.
Nataka ufike ndani ya siku 40 Je ni yupi kati ya hao uhakika zaid au kama kuna shipiping agent mwingine mnipe ramani jamani mjini hapa lazma...
Umeeleza vizuri mpango kazi ila.pia ni vizuri zaidi ukaweka wazi utatumia tv inch ngapii, na playstation gani ambazo ambazo.unapanga kuanzanazo na pia ni games zipi ambazo unaona utaanza nazo cos game zingine zinaharibu sana padi na eneo ulilolenga biashara liko na watu wa aina gani so haya yote...
nimeambatanisha na picha kuna bajaj ya umeme nimeiona alibaba na nimeikubal sana hivyo nataka kuinunua japo sijajua ni njia ipi sahihi ya au nifanyaje ili iagizwe hadi kwangu
natanguliza heshima za dhati for all great thinkers in jf
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu naomba tufahamishane benk yenye ac ambayo ukiweka hela baada ya muda Fulani wanakuongezea kiasi. [emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu nimefuatilia lakini naona hapa ebay sawa na aliexpress ambapo unaselect bidhaa tayari shipping option ipo mfano watakwambia free shipping au via DHL na kiasi narud in case of alibaba hakuna shipping option kua watatumia DHL au free swali ni kua hapo inakuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea hapo juu mimi nimeamua kujihusisha na kuagiza bidhaa kwa jumla kwa wastani ambao si zaidi ya piece 50 kwenye product ndogondogo kama saa,usb n.k.
Naomba kujuzwa suala la shipping katika Alibaba linaendaje maana aliexpress unaposelect bidhaa wanakupa shipping option na bei yake lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.