Recent content by Kwitogelo

  1. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Kuna vipimo vinavyoweza kubaini Mtu ambaye hawezi kuambukizwa UKIMWI?

    Hapana itakuwa ngum kama hakuna vipimo hapana kwakweli
  2. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Kuna vipimo vinavyoweza kubaini Mtu ambaye hawezi kuambukizwa UKIMWI?

    Na kama vipo je,ni hosptal zipi?
  3. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Kuna vipimo vinavyoweza kubaini Mtu ambaye hawezi kuambukizwa UKIMWI?

    Habari za humu ndani? Kuna mazingira niliyokuwa nayaishi miaka mitano iliyopita hayakuwa mazuri kiufupi nilikuwa nakula matunda kimasihara sana afu bila hata ya kuangalia types za matunda yenyewe(kiufupi watu wenyewe tulikuwa hatuendani kabisa yaani) Sasa bwana kuna kipindi nilijiendekeza...
  4. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa watu wanalipwa na hizi redio?

    Huyu fundi hamis kila radio station utamsikia
  5. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

    Unahatarisha maisha yako afu unasema unamtoa mtu tena mtanzania tongo tongo?,may be ingekuwa nchi nyingine mkuu
  6. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

    Natumaini pasaka inaendelea vyema; Katika picha ya kijana inayosambaa mitandaoni ikimuonesha akitumianmwanga wa taa za barabarani kujisomea umenipa maswali mengi sana hasa kwa jamii zetu nyingi hapa nchini kwa sisi watu wa chini ni ukweli usiopingika kwamba hatupendi kujihangaisha. Maswali...
  7. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Biharamulo: Picha ya mtoto akisomea kwenye taa za barabarani

    Natumaini pasaka inaendelea vyema; Katika picha ya kijana inayosambaa mitandaoni ikimuonesha akitumianmwanga wa taa za barabarani kujisomea umenipa maswali mengi sana hasa kwa jamii zetu nyingi hapa nchini kwa sisi watu wa chini ni ukweli usiopingika kwamba hatupendi kujihangaisha. Maswali...
  8. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Yaan wakaamua wamvishe na utambulisho ili wasiseme ilipigwa nje ya nchi
  9. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Picha hapo chini ni baada ya kufutwa kwa rangi za upinde wa mvua kama ambavyo wengi tunafahamu lakinin kumbe wenzetu walikuwa na maana nyingine tofauti. Rangi zilizochorwa kwenye mchoro uliofutwa kwenye moja ya nursery schools hapa DSM ilikuwa inatia shaka kwa baadhi ya watu waliokuwa wakipita...
  10. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025

    Nasemaje kura zitapigwa pale mjengoni aendelee mpaka 2035
  11. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja

    Hizi sinema zipo tanzania tu,tuna katiba lakin tumeifunika
  12. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Mpwayungu Village aliwahi kutaka kusoma Shahada ya kwanza ya Ualimu

    Yaan kumbe huyu ni dogo kabisa,inamaana mpka sasahivi bado yupo shule mbwa huyu?😂😂😂
  13. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

    Ashukuriwe Mungu wa wote ninako ka kiume kana miezi saba saivi,ni kapole kama mm kanaonekana kuwa na utulivu wa hali ya juu siku za usoni. Anachonidai kwa sasa ni mazingira yake ya elimu kwa maana ya ada halafu na malezi ya kumuongezea umakini zaidi kwa dunia ya sasa.
  14. Kwitogelo

    JamiiForums Tanzania Haya ndio maswali yangu machache yaliyokosa majibu. Je, wewe unaweza kunijibu?

    Mbona historia hiyohiyo inasema binadamu tumetokana na nyani lakini hatufanani na nyani tipically? Haya mambo ukihoji sana unaweza kuhisi kila kitu tunachojifunza kutokana na historia ni uongo kutokana na kuwa maswali mengi hayana uthibitisho bayana. Kwahyo nakushauri tuendelee kuishi tu...
Back
Top Bottom